Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Tangu jana mmetangaza kuwekwa mtandaoni kwa matokeo ya mitihani lakini mtandao haufunguki vijana wamekesha kusubiri, mngetoa taarifa ya changamoto ya mtandao wenu au msingetoa matokeo hayo ni...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Kuna mdogo wangu anatarajia kuanza kusoma degree ya LINGUISTICS chuo kikuu mwaka huu lakini ana mpango wa kubadili mawazo kutokana na kile anachokiskia kuwa Linguistics ni ngumu sana na ni rahisi...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Wapendwa salaam zenu, Kama kuna mtu ana uelewa juu ya tafiti saidizi za elimu au material yake naomba tushee hapa jukwaani. Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Naombeni msaada, nimeshindwa kusoma chuo kwa kukosa mkopo hadi nimeamua kurudi nyumbani na sina la kufanya, nisaidieni nisaidieni jamani natoka familia masikini, natamani kusoma ila sina msaada...
2 Reactions
52 Replies
6K Views
Najiuliza, wakati Mwalimu anaanza harakati za kudai uhuru hivi kwa nini hawakumpoteza ili iwe onyo pia kwa wengine viherehere? Nasikia alifunguliwa kesi za uchochezi ila cha ajabu wazungu hao...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Samahani! Ningependa kupata msaada kuangaliziwa kama nimepata mkopo namba yangu ni s0255.0012.0012 maana nimepitia majina ya awamu ya kwanza na ya pili ila kila nikijaribu kutafuta kwenye mtandao...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
BARUA HII YA WAZI IMFIKIE NAIBU WAZIRI WA ELIMU MH. WILLIAM OLE NASH. Na Abdul Nondo. Habari za majukumu, Mh.Naibu waziri Mimi Naitwa Abdul Nondo, ni mkurugenzi idara ya haki na wajibu wa...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Habarini wakuu kwa yeyote anaesoma pale au anaekifahamu vizuri plz nisaidie hata contact nikuchek I need to know about some stuffs kama Hostel zake na vinginevyo plz wakuu nisaidieni mdogo...
1 Reactions
44 Replies
8K Views
Mimi ni mmojawapo wa wahanga. Nmepata 2 ya 12 CBG nkaapply courses za kawaida kama education, environmental science katika vyuo mbalimbali kama SUA, Ardhi, Udom, (St John na Rucu hivi nmeapply...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu, Shida yangu ni kupata ushauri kutoka kwenu. Mimi nahitaji kufanya mtihani wa form six kama private Candidate kwa mchepuo wa CBN. Shida yangu kubwa ni kwa wale...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Anaandika. Abdul Nondo. Magazeti mengi,vyombo vya habari vimeandika,na watu wengi wamekuwa wakiandika baada ya kauli ya Mh.Rais juu ya kuidhinisha sh.bil 147 kwa mikopo elimu ya juu. Ila watu...
10 Reactions
21 Replies
3K Views
Mliochaguliwa MOCU jamani..any updates kama kuna hizo admission letters au anything kuhusiana na kwenda ku report chuo. Updates please
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Msaada jamani kunamkopo wa diploma kutoka bodi ya mikopo
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba msaada wa app ambayo inaweza ziondoa ads mbalimbali nikiwa nmewasha data katika sim yang
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba soft copy tajwa hapo juu mwenye nacho
0 Reactions
1 Replies
2K Views
*SIFA ZA WANAFUNZI NA CHUO KINACHOONGOZA*. 1. Wanaongoza kwa misuli mirefu na G.P.A za ajabu. - SUA. 2. Wanaosoma kwenye mazingira magumu japo ni watu mihimu sana katika nchi. - MUHIMBILI. 3...
3 Reactions
67 Replies
11K Views
Msaada waungwana What are phases of bone fructure
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ahsante sana wanajf kwa kunifariji kipindi chote ambacho nilikuwa nawaza kukosa mkopo baada ya chet cha kuzaliwa kutopeleka RITA hatimaye nimepata na ndoto zangu za kusoma udsm zmetimiaaaaaaa
5 Reactions
36 Replies
5K Views
*KWA WANAFUNZI WA MWENGE CATHOLICS UNIVERSITY (MWECAU)* Mtandao wa wanafunzi Tanzania,kupitia idara ya Haki na Wajibu wa wanafunzi tulipata Malalamiko yenu. Malalamiko yenu kwa wanafunzi wa...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inawatangazia waombaji walioomba kujiunga na masomo ya shahada za kwanza katika Vyuo vya Elimu ya Juu nchini kuwa imekamilisha zoezi la uhakiki wa majina ya...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Back
Top Bottom