Hello dear natumaini hamjambo naomba kwa anayefahamu shule ambayo unaweza kusoma five na six kama mwanafunzi na kufanya mitihani Kama PC kwa MKOA wa mwanza (EGM)
Matokeo NECTA IV 2015
S1065/0049...
Mkopo niliopata kutoka HESLB ni kama ilivyo hapo kwenye Screenshot:
Swali langu nataka kujua hapo kwenye SFR kwa Mechanical Engineering UDSM kuna mzigo natakiwa niongezee? make wengi wa...
Mimi nilikuwa mmoja wapo katika majina raundi ya pili ya walio kuwa na multiple selection..Na nikaamua kuconfirm katika chuo cha udom!! Lakini mpaka sasa sijaona mrejesho wowote kutoka kwao..au...
Habari zenu ndugu zangu.
Kuna chuo kimoja cha private(jina kapuni) kimetoa barua ya admission ambapo katika barua hiyo kuna Maelezo ya ada inayotakiwa ilipwe. Lakini pia kuna ambacho wanakiita...
Shule yafungwa kwa kukosa walimu
2007-10-26 09:23:56
Na Mohab Dominick, Maswa
Shule ya sekondari ya Binza ya wilayani Maswa Mkoani Shinyanga imefungwa kwa muda kutokana na kukumbwa na...
habari wana JF,
Husika na kichwa hapo juu,mimi ni kijana wa makamo,mtanzania mwenzenu ninaehitaji msaada wa kielimu.
Kwa kufupisha maelezo,baada ya kupata matokeo yasiyoridhisha form6 ya daraja la...
Mimi Ninasoma Program language ya PHP Na kwangu imekua rahisi sana kuielewa.
ila Kwa sasa naona kuna language nyingi za programming Mfano:Phython,C++,C#,Java,
Javascript,Golang Na Nyingine nyingi...
Mimi nimelipia gharama nyingine Za udom
Direct cost Na udoso fee Na quality assurance
Vipi naweza kupokelewa ??
Sijalipia Ada (Tuition fee)
Naomba msaada
Salaam wana JF!
Kumekuwepo na juhudi za serikali ya awamu ya 5 kuzifanyia shule kongwe(mkoloni) za serikali, hakika shule zinapendeza kweli kweli kuanzia Madarasa, Maabara, Maktaba, Mabweni na...
Wakuu ningeomba mwenye kujua hostel iliyopo nje ya DIT, iwe karibu. Aweze kunisaidia mawasiano ya mwenye hostel. Nipate jua kama ntapata nafasi!! Shukran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.