Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wapendwa Rejea kichwa cha habari kinaeleza wazi,madaktari wa chuo kikuu cha AFYA na mazingira Muhimbili wanalenga kuifuta fani ya ENVIRONMENTAL HEALTH SCIENCE ya degree.Sababu kubwa na utetezi wa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hivi na mm naomba mnisaidie, Mdogo wangu ana three ya14 ana DEE, hajafikisha point 4 lkn kachaguliwa bsc in accountancy CBE vipi TCU wameshusha pointi.Mpaka sasa siamini nipo safarini hebu nisaidieni
0 Reactions
8 Replies
1K Views
MSAADA NIMECHAGULIWA SUA MWAKA HUU COURSE YA NUTRITION NATAKA KUPOSPOND MWAKA TARATIBU GANI NIFATE
0 Reactions
35 Replies
5K Views
BODI imesha toa kwa kutangaza majina ya waliopata mkopo kwa awamu mbili. Hili ni sawa kabisa lakini unapotoa majina takribani 10000 kwa mfano unakuwa umeptia majina mengi zaidi, kwa nini wale...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
first year muce ....tukutane hapa
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Habari wana udsm wote wapya na wale wanaoendelea ..uzi huu ni maalum kwa ajili ya kuexhange room au kuuza room kwa wale wanaohitaji kwenda kukaa nje karibuni sana tujipange na 2017/18.....
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mwenye taarifa atuhabarishe, kila nikijaribu kulog in kwenye akaunti ya Kijana wa jirani yangu ili kujua amepata mkopo au la haifunguki kwa siku ya tatu leo tangu list ya pili ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wote wanao soma, na wafanya kazi katika sector hii ya uwandisi kilimo naomba tupeane taarifa juu ya mambo haya yafuatayo 1. Sehemu gani ni nzuri kwa ajili ya kufanyia field 2. Sehemu gani...
1 Reactions
37 Replies
10K Views
Wanabodi, mwenye majina ya udom 2batch naombeni anisaidie hapa. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari! kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, jamaa batch 1 ilivyo toka jina lake lilikuwemo na hii batch2 ya mkopo jina lake lipo tena. Wakati huohuo kunawengine hawajapata kwenye batch zote...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Wana JF naomba kuuliza et majina ya second selection yana chukua mda gan had kutolewa
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Tuwaombeee wanafunzi wa kidato cha nne. Wanaoanza mitihani Jumatatu ijayo. Eeeee mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu na Nchi
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Naitaji kujifunza I.T, kwa yeyote anayefahamu wapi mtapata mafunzo anisaidie pia kama ni mzoefu aje inbox tuzungumze zaidi Ahsanten
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, bodi ya mkopo imekuwa na upendeleo katika ugawaji wa mikopo kuanzia batch1 mpaka hii batch2. Ni ukweli usio pingika mpaka saizi hakuna mwanafunzi anaye endelea ( continuing student)...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Naomba ufanunuzi jamani kwa hii issue ya missmatch of names. nahitaji kujua kama-: 1. Umechaguliwa na chuo ila TCU awaja approve. 2. Je ukienda kudhibitisha taarifa utaruhusiwa kuendelea na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu habari za majukumu. Nimejaribu kufuatilia tofauti ya entry qualification za nchi mbalimbali kama UK, kuna kitu tunatakiwa kukiiga ile tuweze kufikia elimu bora na yenye kuboresha matatizo...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
St John’s vision statement is; “To be a centre of excellence for developing humankind holistically to learn to serve” Our aim is to provide a high quality holistic delivery of university...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naandika thread hii nikiwa na uchungu mno nikiwa kama muhanga wa HESLB na wakuu fulani fulani ambao wamezoea kuassume tu kila wakat kama walivyokua wanafanya ana ana anado kipindi wapo mashuleni...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za muda huu. Bodi ya mikopo walitoa tamko kwamba hadi tarehe 10/10 watakuwa wamekwishatoa majina ya waliochaguliwa kupata mkopo. Siku chache zilizopita mama ndali alisema kuwa hadi katikati...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Wakuu salaam.... Hiv GPA ya mwisho ambayo huandikwa ktk cheti au transcript ni sawa na average(wastani) wa GPA za miaka yote, ambazo hutolewa mtandaoni kama matokeo ya kila mwaka au semster...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Back
Top Bottom