Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nisaidieni jinsi ya kuedit jina nalotumia humu Jf I'll juu apo.please
0 Reactions
6 Replies
775 Views
Habari za asubuhi hapa jamvini. Ni matumaini yangu kuwa mmeamka salama wale ambao mpo mapuzikoni kila la kheri. Na wale ambao mnaenda kuwajibika nawatakia kazi njema. Ni rudi kwenye mada yapata...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Apply to Swedish universities, courses, and programmes: University Admissions in Sweden – Universityadmissions.se Jamani kama kuna aliyewahi apply kupitia website hapo juu anisaidie maana I can...
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Habari wadau Niko mbioni kufanya hii mitihani either GRE au GMAT. Kwa ambao mmeshafanya nipeni uzoefu kidogo please Asante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilichaguliwa udom first selection nikiwa kwenye group la multiple selection. Sa nkapigiw na admision oficer wa udom akasem kama nataka kwenda udom nimwambie aconfirm, nkamwambia aconfirm na mm...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nitashangaa wakikosa mikopo - Rais Magufuli Friday , 27th Oct , 2017 Na Gerald Kitalima Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefunguka na kusema kuwa atashangaa sana...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natumai kuanzia kesho new comer wataanza orientation day kwa baadhi ya vyuo na baadhi ya vyuo ni jumatatu. Kuna maisha ya EXAMINATION kila mwisho wa semester na SUPPLEMENTARY pia zipo. Mind your...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF Mimi nimeconfirm UDSM lakini SUA wamenitumia admission letter hiyo haitonisumbua kweli na mpaka sasa hivi mkopo sijapata huenda ndo ikawa sababu? msaada please kwa mwenye ufahamu SHIME...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimechaguliwa ualimu wa Awali,hivi naweza kubadilisha?? Pia naomba faida za ualimu wa Awali..
0 Reactions
5 Replies
4K Views
INTER-UNIVERSITY TRANSFER PROCEDURES 1.0 Introduction ---------- As provided in Sections (12) (2) (a) (b) (c) of the Universities Act Cap. 346 of the laws of Tanzania read together with...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Vijana wetu someni. Angalia rufaa zote hakuna hata moja imepita. Ni kusoma tu! Kuangalia Bofya HAPA
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekaa nimewaza kutokana na mifumo yetu ya elimu ya juu inawezekana mtu kuwa na bachelor(degree) mbili ambazo amezisotea zote kwa miaka 3 au 4 kila mojawapo ambazo ni tofauti na postgraduate au...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza ICT ni kozi inayohusu mambo gani na pia ukisoma ICT unaajiriwa sehem gan au unaweza jiajiri kufanya kazi gani naomba msaada wadau
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema watahiniwa 662,035 kati ya 909,950 waliofanya mtihani huo wamefaulu kwa kupata alama 100 au zaidi kati ya alama 250 wanazopaswa kupata. Dk...
9 Reactions
110 Replies
73K Views
Baada ya kutoka matokeo kwenye awamu ya kwanza, tulilishuhudia hili la wanafunzi wengi kupata vyuo zaid ya kimoja. Je likitokezea tena kwenye 2nd round si litapelekea kuwepo kwa 3rd round? Huu ni...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Huwezi amini watu 36 tu ndio wamebahatika kupata mkopo chuo kizima cha ardhi kwa hawa freshers na continuous students wote wamekatwa katwa pesa zao hakuna mwenye pesa complete kama aliyoipata...
11 Reactions
66 Replies
7K Views
Ningependa kujuzwa,ni tovuti yenye past papers za masomo ya a-levels? Ningependa kujuzwa pia bei ya reviews za masomo ya a-level na hasa History Geography na English Language. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Zimebaki siku chache sana kabla ya kufika tarehe maalum iliyopangwa karibu na vyuo vyote nchini kwa ajili ya kuripoti kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza. Kuna wanafunzi waliochaguliwa nje ya mikoa...
2 Reactions
35 Replies
7K Views
You have a Credit of 1,465,000.00 S/No Fee Academic Year Pay type Reciept/Inv No. Date Paid Amount due 1 University Fee 2017/2018 INV.hidden info........... 16-10-2017 0.00 1,300,000.00 2 TCU...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom