Wakuu nilichaguliwa kwenye multiple, cha kushangaza jina naliona chuo kimoja na vyuo vingine silioni kwa vile ilikuwa mwisho tar 18 kukomfem nilituma kwa njia ya SMS kukomfem na walinijib welcome...
Nina kijana wangu kamaliza kidato cha sita mwaka huu, sasa kuna rafiki zake wanamchanganya kuhusu chuo. Kila mara anaongelea kuhusu Archbishop James University (AJUCO) kilichopo Songea, na imekuwa...
Mimi nilikoconfirm second round udom, ila Mpaka sasa sijapata joining instruction wala admission letter
Naombeni kwa yeyote mwenye nazo anisaidie,, maana Mpaka sasa sijui nafanyaje
Msaada please
WANAFUNZI 14,000 kati ya 40,000 walioomba kujiunga na masomo ya juu wamechaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) katika mwaka mpya wa masomo 2017/18 unaoanza wiki hii.
Mkurugenzi...
Tumsifu Yesu Kristu (T.Y.K), Kuna jirani yangu anaomba msaada wa kufahamu shule ya seconday ya Kiislamu ili ampeleke binti yake aliyemaliza darasa la saba mwaka huu. Ufaulu wa shule nalo ni jambo...
Wakuu naomba msaada wenu nimeona nikiweka matumaini makubwa kwenye HESLB pengine inaweza leta shida hivyo kwa yeyote anayefahamu mahala pengine popote ambapo wanatoa mkopo kwa wanafunzi ni...
till nw watu hatujui tumepata asilimia ngapi japo majina tumeshayaona kupitia pdf za watsup. kwenye ku apply pia ilisumbua mtu umelipa lakin account haifunguki wengine control no unapata baada ya...
Juzi nimepata taarifa ya kuwa nimepata mkopo ,na kabla ya hapo niliiasha confirm udom
sasa nimepata kazi juzi hivyo nataka kubadilisha nisome hapahapa dar ili iwe rahisi kufanya kazi na pia...
Uzi huu ni maalum kwa vijana wote waloomba vyuo kabla ya TCU kutoa mwongozo! Jamani wengi mnakumbuka karibia kila chuo kilikuwa na ada yake mfano wapo waliolipa 30,000 UDOM, 20,000 UDSM, 20,000...
Habarini wadau.
Awali ya yote ashukuriwe Mungu mwenye kutuwezesha yote.
Nashukuru Mungu nimepata chuo, mwanzo nilikuwa kwenye majina ya watu wenye matatizo, baadae udsm wakanichagua katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.