Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Watoto wawakulima bila mikopo ndoto zetu znaelekea kuzimika tafadhal toen hzo second batch maana hapa tumbo la mharo linaniandama
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari wanabodi! Naomba link ya loan allocation kwa tuliochaguliwa institute of tax administration-ITA mwenge 1st batch
0 Reactions
2 Replies
970 Views
Wanabodi hali tete inayoutetemesha mwili wangu ni baada ya kufungua account yangu ya HESLB na kukuta sehemu ambayo niliattach vielelezo vyangu kuonekana sikuaatach hiyo sehemu nyekundu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Msituchoke jamani wanaJF maana mzuka wa kupata chuo ushayeyuka naomba kuuliza kwa anaejua HESLB wanatoa lini majina ya 2nd batch atujulishe #MUNGU USIYERUHUSU WAKUTEGEMEAO WAAIBIKIE SASIMAMA...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Kama heading ilivyo, hapo juu naomba mtu mwenye kufahamu shule ya primary iliyopo kenya, iwe ya bweni, ada pia iwe nafuu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba kufahamishwa. Ikiwa mtu kasoma Bachelor of science in Nursing anaweza kusoma tena Bachelor ya Pharmacy au MD?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu nimechaguliwa course hiyo pale UDOM kwa wenye utaalam nayo naomba kujua uzuri wake na ajira zake zikoje na inahusiana na nini? asante
0 Reactions
11 Replies
4K Views
TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU) TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AWAMU YA TATU YA UDAHILI Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inatangaza kuwa Awamu ya Pili ya Udahili wa waombaji wanaotarajiwa kujiunga...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama uliomba UDOM mwanzoni kabla ya TCU kutoa mwongozo kuwa vyuo vyote vya umma hela ya kufanya maombi iwe 10,000 na wewe ukalipa 30,000 basi unataarifiwa kuwa kama umechaguliwa pale 20,000 yako...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama heading inavyosomeka, naomba kujuzwa ipi hapo ni nzuri in term of ajira na masilahi Ahsanteni
1 Reactions
19 Replies
5K Views
[emoji780][emoji780][emoji780]
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Naipongeza sana heslb kwa jambo moja kubwa ambalo halikuwahi kutokea huko nyuma. Jambo lenyewe ni kupeleka pesa za mikopo vyuoni kabla ya vyuo kufungua. Hivyo kuondoa usumbufu mkubwa wapatao...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Hizi ndio shule bora Tanzania. 1.Mzumbe 2.Ilboru 3.Kibaha 4. Tabora Boys & Girls 5. Kilakala 6. Msalato 7. Milambo 8.Tosamaganga 9. Iyunga Tech 10.Ifunda Tech 11. Usagara 12. Pugu 13.Tambaza 14...
3 Reactions
59 Replies
15K Views
Nipende kuwapongeza niwakaribishe pia CUHAS ila Kuna vitu vichache ila muhimu vizingatie kabla hujaja ili usisumbuke badae: Maadili kitu Cha muhimu Nguo fupi,zinazoonesha kwa ndani au mabega nje...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Habar wakuu naomba msaada kuhusu hii registration form ya udom je wanavosema kuna karatasi nne lakin then moja nikae nayo!!sijaelewa wadau nipeni jibu wadau Pili je NHIF na NSSF ndiyo kote...
0 Reactions
2 Replies
891 Views
Wale waliochaguliwa apo tukutane hapa tupeane moja mbili tatu
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Naomba kujua course ya information and library science inahusu nn,je ukisoma unakuja kuwa nan??
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Kwanza nipende kuwa pongeza kwa kujitahidi kutoa course nyingi na nzuri..nadhan watanzania wengi hawajajua umuhim wa hiki chuo Lakini bado wanakasumba ya kufanya kazi kwa mazoea hasa kipindi cha...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom