Kwanza hongereni kwa kupewa nafasi ya kuendelea na elimu ya juu.
Pili hongereni kwa kupata chuo TAKATIFU
kwanini nimesema takatifu??
Ni chuo kizuri kwa
Mazingira
Lectures wake sikuwahi kumchukia...
Wanafunzi 24 wa Chuo Cha Uuguzi Cha Berega kilichopo Kilosa mkoani Morogoro wametelekezwa na mfadhili wao Chama Cha Lions Clubs Morogoro ambacho kiliahidi kuwasomesha na kuwatafutia ajira baada ya...
Wakuu mimi naipenda sana demokrasia, pia napenda niwe mwanadiplomasia elimu yangu ni kidato cha 4 point 29 arts. Nipo Tabora nimejishikiza sehemu napata hela ya kula na maisha yanasonga.
Naamin...
wapendwa kuna kitu kimoja ambacho nimekua nikishangaa
kuaona mwanafunzi anayefaulu darasa la saba na akachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza serekalini(shule za kata ) anafeli kidato cha nne...
Kwanza nipende kuwapa pole na shughuli mbalimbali, na hongereni wananchi wote kwa mafanikio ya mwaka huu.
Najua Tunamuomba Mungu ili aendelee kutulinda na kututunza kila iitwapo leo, pia...
Kwa mwalimu yeyeto aliepo dar anafundisha sekondari alietayari kuhamia Arusha mjini anatangaziwa zawadi ya 1,300,000tsh ikiwa atakuwa tayari kubadilishana vituo vya kazi.
Hakuna utapeli kama una...
Habari zenu wakuu
Ninaomba msaada kwa yoyote anayefahamu Journals zenye impact factor nzuri/kubwa, zinazopokea scientific papers na kuzipublish bila kutoza pesa yoyote kwa Authors.
Journal...
@natgeo getting up close and personal with a large American Crocodile during a sunset thunderstorm in Gardens of the Queen, Cuba. Paul and I worked together to capture this unique perspective in...
UDSM wale wa mature age wanapatikanaje? Nina credit.6 O.level na cheti cha journalism, naweza kusoma law? Pia nina dipl. niliyoipata London School of Journalism through distance learning. NACTE...
Jamani natafuta mtu aliyewahi kufanya mtihan wa RPL wa kujiunga chuo kikuu tuwasiliane au hata una rafiki au ndugu anaweza kunipa maelezo kuhusu huu mtihani anitext tuwasiliane 0625757350.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.