Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Baraza la mitihani la taifa sasa limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa darasa la saba mwaka 2017 ,bofya link (maandishi ya bluu) kuyatazama matokeo MATOKEO YA DARASA LA SABA BOFYA HAPO CHINI...
1 Reactions
5 Replies
63K Views
Namba mwenye joinning instruction yabudom please chapnkuna dgo ananisumbua hapa anaitaka
0 Reactions
3 Replies
803 Views
Mwenye link ambayo ina joinning instruction ya udom aweke
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Msaada plz. Kuhama chuo cha government kwa walio chaguliwa na nacte diploma talatibu za kufata ni zipi..? Na Lin wataluhusu kuhama? Msaada plz wakuu!!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tukiwa tunasubiri joining instruction tupeane mawili matatu kwa wote tuliochaguliwa hapo na hata pia wazoefu wa chuo hicho waliowah kusoma. Binafsi mimi nimechaguliwa diploma ya medical...
0 Reactions
50 Replies
9K Views
Wakuu kwa wale tunaopenda kujua graphic designing tukutane hapa..Mimi binafsi napenda sana kuijua hii kitu kwani inaweza nisaidia kujiajiri...wale magwiji wa graphic designing tukutane hapa...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Ili tupeane update za hii koz yet changamoto ya ajira zake na kadhalka
0 Reactions
2 Replies
967 Views
wanajamvi naomba msaada kwa mwenye course structure ya PhD in Molecular Biosciences (PhD by course and dissertation)
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari! Samahani naomba kuuliza kama kuna mtu anafahamu chuo kinachotoa mafunzo ya sheria ngazi ya cheti kwa elimu ya masafa au distance learning as open university! Ahsante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Matokeo ya shule za msingi yametoka huku shule za msingi toka mkoa wa Singida zikiongoza kwa kufanya vibaya katika matokeo hayo. Kwa kifupi ni mkoa ambao umeshika mkia katika ufaulu. Hongereni...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
URL
0 Reactions
4 Replies
788 Views
Habar za muda huu...??? Nina mdogo wangu kachaguliwa kozi hizi sasa hapo anahitajika a confirm moja tu ili akasome Nimeleta kwenu wakuu ili mnijuze hapo akasome kozi ipi kati ya Bsc of human...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habar za kwenu wadau naomben ushauri juu ya I coz nilio chaguliwa katka chuo cha udom ,,mawazo yenu yana manufaa kwangu
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Wananzengo kwa wale waliopita MKWAWA sekondari,hasa waliokuwa darasa la mwisho,tukumbushane interesting stories za kunzia tukiwa pale 2003-2005 ambapo sekondari ilifutwa rasmi.Baadhi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Qt
Mi binafsi naomba kuuliza hiii elim ya qt ikoje na katka mfumo upi na mitihan yake inatoka Kam ya kawaid au?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wana jf naomb kuulza kuna yoyote ambae amechaguliwa Ardhi university katika course ya architecture akiwa na division 111.kama yupo anambie na mimi niomb round ya mwsho
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jaman samahanini nimechaguliwa saut mwanza na udsm sasa bahati mbaya kunakosa limefanyika nimeconfirm vyuo vyote hvyo katika kutafuta suluhisho nikawa awapigia sim saut wani unconfirm na nimetuma...
0 Reactions
6 Replies
995 Views
Hv mikopo imetoka?
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Nlkuwa naomba niwaulize wadau wa jf ,et kati ya kusoma COMPUTER SCIENCE udsm na BUILDING ECONOMICS ardhi,IPI n faculty nzur hasa kulingana na soko LA ajira kwa nchi yetu ......
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom