Hongereni kwa kuchaguliwa "The White University" Nawashauri hivi:-
1. Yapo makampuni ya mabasi yatawataka mlipe pesa benki ili yawasafirishe hadi UDOM- Kataa kwani watakupiga hela halafu safari...
Wadau kwanza namshukuru Mungu kwa kupata chuo hasa baada ya mwaka huu kuwa na ushindani mkubwa. Mimi ni miongoni mwa wanafunzi waliopita stashahada(diploma) na kupata GPA ya 4.6 niliomba udom na...
Me nimesoma pale 213|2015.
Chini ya mwl.mkuu John Sweke.
Ugumu Ugumuni[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]
But at the end nakaribia kupata degree yangu saizi[emoji310] [emoji310]...
Wanabodi poleni na majukumu.
Nafahamu kipindi hiki ni kipindi ambacho udahili ktk vyuo mbali mbali unafanyika. Kutokana na mchakato wa udahili kuwa tofauti mwaka huu, kumekuwa na matukio ya mtu...
Kuna chuo niliomba toka 1st round na jina langu limekuja katika yale selected but not approved mpaka sasa.
Na nikaomba tena chuo chengine katika 2nd round ila nikakosa. Je naweza kuomba tena...
Nina ndgu yangu kamaliza form six kapata div point 13 kafanya application mara mbili awamu zote katka vyuo vyote jina lake halijatoka. This tym kafanya application only katika chuo kimoja kwa mara...
Nimeingia kwenye tovuti ya Tanzania Social Support Foundation (TSSF), nikiwa na malengo ya kuwafahamu zaidi pia kufahamu masharti yao. Cha kushangaza sijakuta chochote kinachoelezea vigezo na...
Naomba kufahamu kama kuna mtu yeyote umu ambae ana nufaika na mikopo ya elimu ya juu katika hilo shirika
Ani tafute kupitia number 0718070205 kuna mambo nahitaji kujua ahsanteni sana kwa...
Habar yenu.... Mm ni mwanafunzi wa kidato cha tano mkazi wa dar-es-salaam lakin nimepangiwa huku tanga katika SHULE YA SEKONDARI KWEMARAMBA .,... Nimekutana na changamoto nyingi sana zikiwemo...
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha IFM, ningependa kujua yafwatayo kiundani yaani faida na changamoto za hili hapo chini-:
Kupanga chumba na kukaa hostel kupi ni bora zaidi...
Jaman naomben ushauri nimechaguliwa UDSM lakin coz cjaipenda lakin ndoto ilikuwa n kuchaguliwa UDSM pia nimechaguliwa ardh coz nimeipenda lakin cjapenda kusomea hyo coz hapo.
Kama kichwa cha habari kinavojieleza mwaka huu inawezekana kuhama course na chuo yani nataka kuhama kutoka forestry sua kuhamia wildlife and conservation udsm kwa anayezijua procedure anijuze.....
Nimekuja kuliweka sawa hili baada ya kuona mkiitwa vilaza.Tambueni nyie sio vilaza kama mnavyoitwa na wengine ila wajibuni tu kuwa nyie ni vilaza Kwa courses mlizochagua awamu ya kwanza.
Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.