Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Natafuta mtu wa kubadilishana nae yeye aje dar es salaam mimi niende morogoro. Kada elimu sekondari Nipo wilaya ya Ubungo Kama yeye atakuwa wilaya ya mvomero itakuwa poa ndio wilaya ninayotaka...
0 Reactions
3 Replies
854 Views
Jamni kwa niaba ya wanafunzi wenzangu mbona matokeo hayatoki kama walivyo sema ama huku nilipo system sio nzuri? Naomba kujua kama yametoka ama bado asante natangulia salamu kwenu Mungu...
2 Reactions
509 Replies
71K Views
Ana perfomance nzuri CBG, ameomba chuo mwenge na UDOM mpaka sasa hatujaona chuo alichopangiwa. Je mtu anaweza pewa mkopo bila chuo? Ni njia ipi tunaweza tumia kujua chuo alichopangiwa? Vyuo hivyo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kulikua na haja ya ku comfirm kama umechaguliwa chuo kimoja?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, zikiwa zimebaki siku tatu (3) tu TCU ifunge awamu ya Pili ya Udahili Vyuo vikuu UDOM bado hawajatoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na Chuo hicho kwa mwaka 2017/18 na hakuna maelezo...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Habar wadau naomba kuuliza maana ya hili neno breakdown!!!then wameniandikia sh mil 2085300
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Nilichaguliwa chuo kimoja mara ya kwanza lakini siku comfirm. Je kulikua na ulazima wa ku comfim kwa tulio chaguliwa chuo kimoja?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Hii katakata umeme wakati watoto wetu wanajiandaa na mtihani wa kidato cha IV kulikoni? TANESCO mnampango gani na watoto wetu wa kidato cha nne. Au ndo program yenu ya kisiri ya...
1 Reactions
4 Replies
956 Views
Huyu rais sijui mwepesi sana kusahau au tu anafanya makusudi yani ni miaka miwili tu alipoingia madarakani amesahau ahadi zake! Au ndiyo zilikuwa ahadi hewa? Mikopo elimu ya juu jamaa huyu...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari wakuu! Jina la mdogo wangu lipo kwenye orodha ya waliopata mkopo batch two. Naomba mwenye access nzuri ya mtandao anisaidie kuingia kwenye akaunti kisha anitumie hapa mchanganuo wa mkopo...
0 Reactions
2 Replies
743 Views
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza hapo juu naomba kujua shule za binafsi zenye kutoa elimu nzuri kwa mwanafunzi kielimu, kimaadili, n. K. Pia ada zao kama mwanafunzi atakaa shuleni (bweni) kwa...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Kwa tusiopata tukashtaki kwa Mwenyezi Mungu Kwa sababu fedha na mali ni mali yake... Kwa sababu sala ni siri kati ya mwanadamu na Muumba wake hivyo Kila mwenye kusudi iwe mzazi,mwanafunzi...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Naomba kusaidiwa wana JF kwa wanaokaaa mkoa wa Mwanza elimu ya QT hutolewa mahala gani na vituo vipi?
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Mm nmechaguliwa udsm nikasomee .bachelor of commerce in touris. And then udom wamenchagua bachelor of art in economics and statistics naomba ushauri wenu niende chuo gani..?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zatu waungwana .. Leo nimejimovuzisha hapa ili nijaribu kuweka mambo fulani - alafu kwa wale watakaoguswa waweze kuchangia ili tuboreshe elimu na maarifa kwa vijana wetu. 1. Napenda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini za asubuhi... Tanzania tuna utajiri wa watu wenye uwezo wa kuandika mada mbalimbali katika vitabu ila hawajafanya hivyo kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na woga wa kuthubutu...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Kama kuna mwenye three kapata mkopo tujuzane make inaonekna wengi wenye three ndo tumekosa mkopo
0 Reactions
1 Replies
870 Views
Nimeangalia matokeo ya waliokata rufaa ya matokeo yaliyotolewa na NECTA kidato cha sita mwaka 2017. Naona ni kama hakuna aliyebadilishiwa matokeo. Je wanaokata rufaa mko makini au huwa mnajaribu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
samahani wakuu, naomba kuuliza kati ya hizi koz mbili mnanishauri nisome ipi? Maana nimechaguliwa medical lab-udom lakn kuna wadau wananiambia nikasome Pharmacy. Tafadhar naombeni mnifumbue macho...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari za mchana waungwana,amechaguliwa course ya Bsc in Agricultural and natural resources economy and business ya UDSM na Agricultural economy and agribusiness ya SUA.anaweza kwenda chuo gani...
3 Reactions
68 Replies
12K Views
Back
Top Bottom