Wasalaam wadau,
Naomba ujuzi wenu na techniques ambazo naweza tumia kama mhitimu wa masters, MBA kuweza pata sponsorship au hata scholarship kwa ajili ya masomo ya PhD nje ya nchi, Asia, Europe...
Poleni na majukumu ya kila siku waungwana!
Waungwana mimi ni kijana wa kitanzania, umri ni late 20 kwa hivi sasa, kielimu nina shahada ya uzamili, ninapenda na ninaplan ya kufanya shahada ya...
mimi nimechaguliwa chuo cha ardhi kozi ya building economy kutokana na kutemwa kozi kibao nilizoziomba vyuo tofauti tofauti nimeamua nikasomee hii hii kozi ya building economy niliyochaguliwa...
Samahani wadau..naomba kuuliza ni course ipi kwa ngazi ya barchelor anaweza kusoma mtu aliyesoma diploma in water quality laboratory technology...ahsante
Habari wakuu wa JF...
Naomba kupata ufafanuzi juu ya hizo degree programme tajwa hapo Juu maana kuna dogo langu mmoja kachaguliwa hiyo ya bachelor in environmental science anataka kujua utofauti...
Watahiniwa 385,938 wanatarajiwa kutafanya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne nchini.
Akizungumza leo Jumapili, Oktoba 29,2017 Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), Dk Charles...
Ndugu zangu kama umechaguliwa chuo kikuu cha dar es salaam (UDSM), Kama ndugu yako au rafiki au jamaa yupo udsm fresher.
Na kama amechukua admission form yake pale udsm nkrumah hall.
Sasa anaweza...
Wakuu samahani nikichaguliwa Tumaini Makumira Dar es Salaam College second batch ila nilikuwa na multiple selection nikaconfirm Tumaini
Hadi leo hawajatoa kama tumekuwa approved na TCU
Msaada...
Leo ni siku ya tatu hivi, ninajaribu kuingia kwenye profile yangu ili nijue nimepata asimilia ngapi ya mkopo lakini cha ajabu link ya HESLB haifunguki.
Jamani naomba mnisaidie hii ishu maana...
msaada jamani kuhusu hii kozi kwa aliekuwa anaisoma au anaeisoma au anaejua chochote kuhusu hii kozi
vp inahusika vipi na mazingira ??
unafanyakazi sehemu zipi ??
je inawezekana kujiajiri??
na je...
Habari za jioni wana jf,poleni na majukumu ya kulikomboa Taifa letu pendwa Tanzania
Ni hivi juzi kati niliomba kudahiliwa vyuo vitatu UDOM MUHIMBILI NA SUA, katika awamu ya kwanza nilifanikiwa...
1: kuzidisha namba kubwa kwa haraka. Kama namba zipo chini ya 100 basi chukua 100 toa hizo namba alafu jumla ya majibu yake tolea 100 hio itakua ni namba ya kwanza ya jibu lakini pia chukua hizo...
Wadau natafuta walimu wazoefu wa kufundisha somo la computer kwa o level tusaidiane kupata soft copy za notes maana hili somo lina changamoto sana kwenye vitabu.
Asante
habari wanajamvi, naomba kwa anaejua anitajie bei ya vitabu hivi vya kiada form 3 na form 4, nataka nimnunulie mtoto wa dada yangu
1.chemistry form 3 na form 4
2. biology form 3 na 4
3...
Wadau nauliza kama umepata mkopo utahitajika kulipia hostel au wanakata kwenye hela ya mkopo?
Kama ndivyo kwahiyo nachotakiwa kufanya ni kwenda mimi kama mimi na vyeti pekee ili nipate hostel au...
Habari wakuu, ningependa kujua ni hatua gani anazopitia graduate engineer hadi awe registered kama proffessional?
Na je huchukua miaka mingapi? Graduate afanyaje kama anataka kuwahi kuwa registered?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.