Kwa mujibu wa wanafunzi wa chuo kikuu cha newcastle cha nchini uingereza kupitia utafiti wao, walibaini kuwa idadi ya bacteria waliopo katika kinywa cha binadamu ni zaidi ya idadi ya binadamu wote...
Kwanza nianze kwa kuwapa pole wanafunzi wa form four, walio kwenye mithiani na wanaoemdelea mitihani. Hivi jamani elimu ya miaka minne unapimwa kwa masaa matatu!!! Kweli elimu hii ni ngumu.
Mimi...
Majibu ya mikopo kutoka kwa wazir.Mh.Mama Ndalichako.
1.TSNP tulikuwa tunapinga vyuo kudahili baadaye ,kusema Nafasi zimejaa Mfano.chuo cha mwenge university. Ambapo kama mnakumbuka tuliandika...
Kwa mwenye uelewa mzr kuna dogo anataka hama chuo,kweny chuo anachotaka hama hajapewa uhakika wa kupata chuo na ukiangalia chuo alichopangiwa mda unakaribia isha wa regstration sa ili kilinda...
Tanzania ya viwonder
WANAFUNZI 31,000 KUKOSA MIKOPO ELIMU YA JUU
Na LEONARD MANG’OHA -DAR ES SALAAM
WANAFUNZI zaidi ya 61,000 wamewasilisha maombi ya mikopo katika Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi...
Jamani vijana huu ndo wakati wa kujiongeza mana tuna Sera ya hapa kazi tuu na viwanda kwanza. Vijana tujipanage tujue jinsi ya kupata Mkopo toka serikalini tuwekeze kwenye kilimo na viwanda vidogo...
Mimi ni muhitimu kidato cha sita mwaka 2017 kwa bahati mbaya nimepata Div.3.14 yaani DEE mchepuo wa CBG kwa bahati mbaya sina sifa za kujiunga katika ngazi ya degree kwenye chochote hapa nchini...
Kwa wenye kujua mahali kuna maticha wazuri wa kufundisha tyusheni ya masomo ya Physics, Chemistry na Biology ya kidato cha 5 na 6 katika jiji la Mwanza wakati wa likizo naomba wanifahamishe.
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMTULLAAHI WABARAKAATUH
Na'am, Leo Tutajifunzza NJIA RAHISI YA KUPATA JIBU LA SWALI LOLOTE LA MATHEMATICS (step BY step)
MAHITAJI
1.SmartPhone
2.MBs Kadhaa
3. Browser...
Ndugu zangu wale waliochaguliwa IFM bachelor of taxation and management tukutane hapa tupeane updates and other information kuhusu chuo, kozi na mambo mengine ya maendeleo... Asanteni!!
Salaaam sana wakuu!!
Bila kupoteza mda naomba msaada kwa aliye na mwlawasiliano yeyote yale kutoka shule ya secondary Mlongwena iliyopo Lushoto Tanga kwani kuna jamaaa anahitaji aombe nafasi ya...
Suala nililoliandika katika barua yangu ya wazi kwa mh.Naibu waziri wa elimu.Ole Nasha juu ya idadi kubwa ya wanafunzi kukosa mkopo na vyuo kutoruhusu wanafunzi kufanya usajili hadi walipe...
Habari zenu ndugu.
Kuna mdogo wangu amechaguliwa kujiunga katika chuo cha private hapa dar es salaam, amesha-confirm na kashalipa nusu ya ada kwa ajili ya usajili na ameshasajiliwa. Sasa tatizo...
Hiii ndio ilikua post yangu kabla ya kupangiwa ajira yangu mwaka 2015.
"My name is Sir Chichi, I will be with you in English and History. I need your cooperation, thenk yuu pwaa pwaaaaa."...
Serikali ibane matumizi kwa kuzipa kazi benki za NMB na CRDB kazi ya kukopesha na kudai madeni madeni ya wanafunzi. Benki zina utaalam zaidi wa kukopesha na kudai madeni kwa wanafunzi kuliko watu...
Jamani wanaJF.
Naombeni ushauri mimi mwaka wa kwanza, naombeni mnishauri kwa mchepuo wa HGL. Nisome vipindi gani chuo maana wanasema geography na language ni ngumu.
Kwa wale tulio bahatika kuanza first year, tulio-graduate na tunaoendelea na masomo HKMU (certificate, diploma, undergraduate, postgraduate etc, )
Karibuni sana tufahamiane ,tueleweshane na kwa...
Toka Rais Magufuli aingie madarakani sijasikia maandamano ya wanavyuo kuelekea HELSB kudai fedha za mikopo ya elimu ya juu.
Hii ilikuwa ni kero kuu iliyokuwa inapelekea kuibua migomo ya mara kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.