Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Prof Anangisye ameukwaa U-VC wa UDSM na kuchukua nafasi ya Prof. Mukandala aliyemaliza muda wake.
1 Reactions
8 Replies
11K Views
Jamani hivi mnaionaje degeree ya miaka hii?? Mimi naona kama imechuja sana haina makali kama miaka ya nyuma, uzito wa degree ya sasa inavyochukuliwa mtaani ni sawa na uzito wa anaehitimu form...
1 Reactions
61 Replies
5K Views
Wakuu mlioko kwenye system,mnaonaje hali ya sasa kwa ajira na fursa katika kada hii,bado zipo open?,au watu ambao wanasoma saivi waanze kujiandaa kisaikolojia kuwa mambo sio rahisi?.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini wadau wa Jamiiforums naomba kuuliza hivi fani ya mitambo au ufundi mitambo unaotolewa VETA Chang'ombe ni fani inayohusu kutengeneza au kujifunza mitambo kama ipi naomba msaada wenu
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ni wiki sasa mtandao wa wanafunzi Tanzania(TSNP) tumekuwa tukipata malalamiko kutoka chuo cha IFM juu ya kutoingiziwa fedha zao pamoja na karatasi za kusaini hadi sasa. Kubwa zaidi chuo hicho...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wana jamvi?!.naomba kuuliza kwa mfano nataka kuhama chuo labda kutoka Udsm kwenda mzumbe ,Na huku udsm nmeshachukua boom tayari kabla ya kuhama .. je Kuna uwezekano wa mkopo wangu uliobaki...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Nimemaliza chuo kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2009, ila kiukweli nilikua napokea mkopo toka HELSB 60%, ilikua ndogo ila ilivuta mpaka miaka mitatu ikaisha. Baada ya kumaliza chuo nilipata kazi...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Naomba anayejua minimum entry qualifications for medicine. DDS aniwekee hapa. Possible scenarios of combinations of passes asante
0 Reactions
4 Replies
1K Views
PINDUA PINDUA UNIVERSITY CONCERT Wizara Ya Michezo na Burudani TuMaSo inapenda KUWAKARIBISHA Jumuiya ya WanaTuMa wote, Vyuo Jirani katika Vodacom University Concert itakayofanyika siku ya tarehe...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimejaribu kufanya installation ya Tv na aking'amuzi cha Star Times outdoor antenna, channel zinaoneka zikiwa in black and white, na haitoi sauti. Tatizo linaweza kuwa wapi ?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari zenu , Naombeni kufahamishwa sehemu ambayo wanafundisha lugha ya kikorea maeneo ya dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
807 Views
Mimi ni mwanafunzi wa university ni mwaka wa 3 nimekataliwa research proposal mara 5, naombeni msaada wa research title kila awamu naambiwa problem is already known sasa hadi nashindwa kujua...
1 Reactions
125 Replies
14K Views
Habarini wakuu naomba wenye uelewa wa hizo fani wanisaidie kujua vyuo vinavyotoa hizo kozi pia soko lake kwa kujiajiri lipoje?.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Salam kwenu wakuu, hii kero ya usafiri kwa wanafunzi wa UDOM inaelekea kua sugu sasa, utaratibu mbovu wa stendi ya daladala Jamatini umekua ukichangia pia kero hii kwa kiasi kikubwa, Nashauri...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Elimu yangu n form IV nilimaliza mwaka 2004 na kuscore div four ya 27. Ninaomba msaada wa kujua njia za kupata chuo cha IT ndani ya mkoa wa dar es salaam kwani ninaujuzi wa computer na ninahitaji...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
1.advanced level chemistry...... E.N.Ramsden 2.organic chemistry....... Robert T Morrison and R.N.Boyd 3.general chemistry..... holtzelaw Robinson 4.physical chemistry....... E.N.Keys...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jiandikishe kusomea shahada ya uzamili katika Chuo Kikuu Middlesex (London, Malta, Dubai, Mauritius). Middlesex University imekuwa ikielimisha wanafunzi kwa karibu miaka 140. Tangu kuanzishwa kwa...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu Nili chaguliwa SUA course ya Agricultural Engineering NA IFM course ya Actuarial science 2017/2018.kutokana na kuwa multiple selection nili confirm SUA kutokana na ushauri wa watu wa karibu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu Nili chaguliwa SUA course ya Agricultural Engineering NA IFM course ya Actuarial science 2017/2018.kutokana na kuwa multiple selection nili confirm SUA kutokana na ushauri wa watu wa karibu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu wana jukwaa nimesikia mahojiano kati ya mwanafunzi mhitimu wa chuo hicho cha sayansi ya afya ST. AGGREY na radio moja jijini Mbeya anadai kuwa ni mwaka wa tatu mpaka sasa wana dai vyeti vyao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom