Ndugu wana jukwaa,
Naomba Mdau yeyote mwenye maelezo au uelewa wa hizo Masters programs tajwa hapo juu anipe muongozo zaid zinahusu nini na tofauti yake ikoje? Masters programs zinazotolewa CBE...
Naona bodi ya mikopo na serikali wanazingua watu mtu ana uhitaji hana wazaz na hana uwezo wa kusoma bila mkopo alafu wanamnyima. Ruhusuni mashirika binafsi yatoe mkopo vijana tunateseka vyuoni
Imekuwa kawaida kwa kila kitu katika nchi yetu kuingizwa siasa.Hata jambo la proffesional wasomi wameshindwa kulisimamia ktk proffesional yake.
nawashukuru wanasheria ambao naona kwa upande wao...
Naandelea na masomo yangu ya chuo kikuu Udsm nikiwa mwaka wa kwanza namshukuru mungu ni mmoja ya wanafunzi wanaofadhiliwa na Loarn Board katika masomo lakini kitu kinachonifanya nisijisikie vizuri...
Habari wanajamii forum, naomba msaada kutoka kwa mwanafunzi yoyote alieomba mkopo mwaka wa masomo 2016/2017 akiwa kama continuous student ani dm. Ninashida ya kutambua kama batch ilitoa, maana...
Wakuu habari zenu...
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne 2015 na katika matokeo yangu nimefaulu vizuri na nimebance comb zote za sayansi yaani pcb,pcm,pgm,cbg,egm
lakini lengo langu kubwa ni kusoma...
Msaada tutani ukiwa na Math F, Kiswa D, Geo F, Eng D, Civ D, Bio D, Chem D, hist d, Phyc F . Unaweza soma certificate in information technology kwa chuo cha DIT . Ada zao zikoje na wanapokea...
Kuna wanafunzi ambao walitakakiwa kucomfirm majina yao kwa loan board kupita loan officer kwamba ni wanafunzi wa IFM baada ya matokeo kutoka, wameshafanya hivyo mwezi mzima umepita results za...
Wadau wa jamii forums naombaa kuelekezwa hii kozi ya fitter mechanics inayo tolewa na veta ni kozi inayo husu kitu gani na pia ina soko LA ajira kwa kipindi hiki
Wanajukwaa habari za wakati huu?
Moja ya vigezo vya mtu kufundisha chuo kikuu ni GPA above 3.5 kwa undergraduate.
Mimi Nina GPA ya 3.4 kwa undergraduate na GPA ya 4.0 kwa masters. Je nikiendelea...
Hivi ni kwanini kuna utaratibu tofauti kati ya halmashauri moja na nyingne katk utoaji wa hela za kujikimu kwa watumishi (waalimu wa sayansi) walioajiriwa Mwaka huu?
Kuna ambao walipewa hzo pesa...
Husikeni na somo tajwa! Naomba kujua namna ya kupata sponsorship ya Chuo kikuu Huria cha Tanzania (OUT) ngazi ya Shahada ya Uzamivu katika Elimu. Natamani kufikia lengo hili lakini uwezo wa...
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha yenye wanafunzi 2,679 waliopata mikopo yenye thamani ya Sh9.6 bilioni baada ya kukamilika uchambuzi wa rufaa walizowasilisha...
Chuo cha IFM kuna wanafunzi ambao ni wanufaika wa mkopo hawajafanya registration mpaka leo, kila tukifwatilia loan officer anasema majina yanashughulikiwa ni mwezi umepita sasa....
WAHUSIKA...
Serikali kuajiri waalimu wa shule za msingi na sekondari
Serikali imepanga kuajiri walimu 11,000 wa shule za msingi na sekondari katika mwaka wa fedha wa 2017/18.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.