Habari zenu wakuu, poleni na majukumu na mahangaiko ya kila siku ya kujitafutia riziki, Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye nia thabiti ya kupambana na hali ya kiuchumi kwa upande wangu na hata...
Kwa unyenyekevu mkubwa naomba msaada wa namna ya kupata vitabu vya JAMES HARDLEY JAMES. Naomba pia kama kuna link za vitabu vya MUSIBA kama KIKOSI CHA KISASI, NJAMA, DAR-ES-SALAAM USIKU, KIKOMO, n.k
Wadau habari nilikuwa naomba wanaojua wanielimishe faida na hasara za izo mitaala miwili katika elimu ya awali , msingi na sekondari achilia mbali swala la gharama. Je ni ipi bora kwa mtoto wa leo...
Hello wadau, nafahamu hapa nipo mahali sahihi kabisa. Mimi ni mwl wa geography, nahitaji kama kuna walimu wenzangu humu hasa kwa private schools tusaidiane namna ya kupata papers na kutungiana...
Wadau naombeni Msaada wa kupata Orodha ya wanafunzi Kidato cha Kwanza Mkoa wa Shinyanga-Halmashauri ya Kahama Mjini 2018, nimetafuta sana bila mafanikio.
Dar es Salaam. Benki ya Barclays Tanzania imetoa vyeti kwa wanafunzi 24 wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) walioshinda shindano la udhamini wa masomo liitwalo 'balozi mwanafunzi'.
Akizungumza...
Utafiti wa taasisi ya Twaweza unaeleza serikali inapoteza bilioni 793 kila mwaka za mishahara ya walimu wa shule za msingi ambao hawatimizi majukumu yao ya kufundisha wanafunzi na kuhudhuria...
Hii ni special thread wa ajili ya ex- Udsm students kushare moments mbali mbali tulizokutana nazo katika kipindi chetu cha masomo pale mlimani ziwe happy moments, sad moments etc.
Binafsi nilikua...
Habari wakuu..ningependa kuuliza kama kuna vyuo teali majina ya wale wa misallocation kama yameshashughulikiwa na kutumwa chuoni. Toka bodi waseme majina 590 yashapelekwa vyuoni siku wanatangaza...
Habari wana JF!
Katika vyeti vyangu form 4 na 6 pamoja na chuo nimekua nikitumia majina mawili badala ya matatu. Hata hivyo, katika vitambulisho vya utaifa na mpiga kura nimelazimika kuweka jina...
Poleni na pilikapilika za hapa na pale pia niwape pole na kuwapongeza Kwa kuendelea kulijenga taifa letu la tanzania.
Suala lililonileta hapa ni kuomba wanazuoni mnisaidie juu ya chevening...
Rais wa Tanzania, John Magufuli ameitaka Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi kuzirejesha serikalini shule za sekondari ambazo imeshindwa kuziendesha ili ziboreshwe na kutoa elimu bora kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.