Jamani nilikuwa nahitaji msaada wa kujua chuo cha ufundi Mikumi nilikuwa nahitaji kujiunga hapo mwakani level three kwa fani ya umeme kwa anayejua naomba anipe taarifa wana anzaga mwezi wa ngapi...
Hello guys
Kwa wale mliosomaga feza boys au wenye ndugu zenu waliopo feza boys, nasikiaga feza boys wanaonyeshwaga mitihani (sina uhakika). sasa swali langu linakuja hivi
1) Wanafunzi wa feza...
April 15, 2017 lilitokea jambo ambalo wengi hatukulitarajia katika Sekta ya Elimu hasa Elimu ya Vyuo Vikuu.
Kuna watu ambao wanaushawishi ama kutokana na sifa zao au kutumia nguvu kulingana na...
Leo kwenye gazeti la Daily News wamechapisha titles za PhD theses walizoandika watunukiwa 80 wa PhD za UDSM mwaka huu, akiwemo mhe Mwigulu Nchemba.
Nyingine nimezitazama nikajiuliza hivi hii ni...
Afisa Elimu msingi ktk wilaya moja anahangaika kumchafua mwalimu wake Kwa kushirikiana na maofisa wa chini yake.
Chanzo ni ugomvi wa kimaslahi mwalimu kafungua stationary katika kituo cha kazi...
*CWT hawana uwezo wa kutetea walimu kamwe*
*Na commred Chichimizi*
CWT.....ni zao la muajiri mfumo wa trade unions Tanzania ulianzia serikalini ndo maana hata kudai uhuru ulishiriki hivyo cwt...
Wadau wa jamii forums naomb kuuliza hivi chuo cha telecom na electronic pia na chuo cha networking kwa ngaz ya chet kwa Dar es salaam vinapatikana sehem gan na masharti ya kujiunga yapoje
Mimi ni mwalimu nipo kigoma Kalenge Secondary nafundisha somo la kiingereza naomba kama kuna mwalimu yupo songea anataka kuja kigoma tuwasiliane kwa namba 0756292041
Huyu jamaa nimeanza kumsikika mda sana mrefu sana akijitangaza kua ni mwalimu bora wa kiingereza ,huku akijinadi kua usipoelewa utarudishiwa ada yako,sina nia ya kwenda ila kwa waliowah kwenda mje...
MIKOPO YA WANAFUNZI ELIMU YA JUU
Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli imezidi kuonyesha namna inavyowajali Waafunzi wa elimu ya juu kwa kutoa mikopo zaidi kwa...
Hivi hakuna application au website au blog ambayo inasaidia kusolve maswali? Maana kuna muda tunashindwa kusolve maswali chuoni na solutions hazipo. Msaada plz
Ambaye anajua atuambie. Tuwe...
Naomba msaada kwa Past papers na Jinsi ya kukabiliana na hii course ..haswa learning material nisaidieni wapi napata learning material na kama uwezekano upo naweza kulipia.niko level4
Inashangaza kuona kuwa heslb walitoa nafasi ya wiki moja tu ya kukata rufaa, lakini wao zinakaribia kumalizikia wiki mbili sasa bado wako kimya kuhusu matokeo ya rufaa za watu. Kama hakuna...
Nilikua najaribu kufuatilia tatizo la mikopo ya elimu ya juu mfano kwa vyuo vikuu vilivyoko mkoani Dar es salaam, yaani mtu una uweza kutokwa machozi. Ni idadi kubwa sana ya wanafunzi ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.