Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Shikamooni jamaai Mi ni mwanafunzi wa kidato cha sita natarajia kumaliza form six next year kama MUNGU akinijalia....tatizo langu ni kwamba mi kwasasa nasoma combination CBG lakini kumekua na...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Tafadhari ndugu zangu, rejea Maelezo hapo juu, Naomba Msaada nitapataje maelekezo muhimu y'a kujiunga Kidato cha kwanza 2018 Tabora boys. Natanguliza shukrani n'a J. Poli njema.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
LESSON; RISALA YA MWAKA (SUMMARY OF THE YEAR). Hatimae leo mwalimu ameamua kurudi tena darasani baada ya likizo ndefu, pole kwako wewe mwanadarasa ambae hali yako...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ndugu zangu wana JF naombeni msaada natafuta shule ya private ya advance yenye michepuo ya arts kwa mikoa ya Kaskazini kama ARUSHA, KILIMANJARO N. K na ikiwezekana kama unajua na ada zake niekeee...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
WESTGATE Girls High School ni Shule ya sekondari ya wasichana ya bweni inatangaza nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2016. Westgate Girls High school ipo kibaha...
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Anaejua shule kwa DSM ya 5&6 kwa mwaka 1
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ningependa kujua vyuo vinavyotoa facult za MD, orthopaedic and general surgery vilivyo Afrika Mashariki hasa Uganda na Kenya kama vipo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bachelor of International Business Management hii course ina hesabu?? mtu ambaye hajui hesabu anaweza isoma?? in TZ au in kenya
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauliza wadau Mwalimu mzuri anayependwa na wanafunzi darasani ni yupi kati hawa wawili 1:ANAYETOA NOTISI KICHWANI NA KUANDIKA UBAONI? 2:ANAYETOA NOTISI DAFTARINI NA KUANDIKA UBAONI?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Body ya mikopo mwaka 2017/1018.ilitoa mikopo kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza .Kulingana na mfumo wa uombaji wa nafasi za chuo kwenye vyuo husika...hii imepelekea wanafunzi wengi kupata multiple...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakati Niko advance nilichukua masomi ya EGM,hesabu zilikua tatizo sana kwangu hadi kunipelekea kupata F ya hesabu masomo mengine nilipata A yani (economic A,Geography A) Katika pilika za...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Jamani nasikia majina ya darasa la saba waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwakani 2017 yameshatoka..... Mwenye link ya hayo majina atupie hapa.
1 Reactions
49 Replies
37K Views
Kama uzi unavyo jieleza hapo juu. Ni masikitiko yangu (huu sasa ni mwaka wa pili) pamoja wa wazazi wengine. Kumekuwa/Umeibuka mtindo ama utaratibu kutoka Wizara inayohusika na mambo ya Taaluma...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Je ukishamaliza diploma ya physiotherapy, unaweza kwenda kusoma md!?
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Naomba kuuliza kwa tuliyopata mkopo kupitia rufaaa , Je kuna mtu anayejua mpaka sasa amepata asilimia ngapi ya mkopo ? , maana mpaka sasa kwenye account hawajaweka break down na chuoni kwetu hapa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hello guys Ingawa wengi wanaponda elimu yetu ya kibongo kuwa ipo theoretical tu, lkn mm naona mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, mitihani ya necta ipo kwenye standard hlf wanasahihisha kwa haki...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wadau napenda kujua ni vyuo gani unaweza kujiunga kusoma bachelor ya uhasibu kwa kutumia qualification za diploma in education(phy &math)
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rungwe secondari,sitaisahau maana kwa hali ya hewa,miundombinu na shughuli za ujasiriamali kama,bustan,mabwawa ya samaki,mashamba ya migomba nguruwe na mchakamchaka vilikuwa vinanifanya nijisikie...
0 Reactions
6 Replies
932 Views
Habari za mapumzuko wanajua wa jf? Naombeni mwenye taarifa kuhusu masters of Business Administration au project management zinazotolewa na Chuo kikuu Huria Tanzania kua zinaanza mwezi wa ngapi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom