Habari zenu wanajukwaa,
Nilifanya mitihani ya CPA May, Nilifanya masomo 6 intermidiate na nikafaulu mawili tu (audit na ethics), Kwa sasa nataka kufanyia mtihani haya manne yaliyobaki na moja la...
Wapenzi habari za mchana?
Mnamo 12/06/2017 Mangi nilifanikiwa kununua Bachelor degree on Business administration with Information Technology kutoka SMC University kinachopatikana huko Zug -...
Wana jf kama kuna mdau mwenye details za kujiunga na shirika la Jesuits naomba anijuze na kielimu mie ni graduate. All the best guys with constructive and destructive criticism.
Hello,
Ni demu fulani anaitwa Cong cong wang hivi kwa sasa yupo shule gani? na kama anasoma bongo, form 6 ya mwaka wao inafanyika lini? ili akishafanya ACSEE, results zake tuzipost humu, coz kuwa...
Za muda huu wakubwa?
Naomba msaada wenu,mdogo wangu amefeli masomo hayo kweny mtihani wa kidato cha nne na nia yake ilikuwa ni kuanza kusoma certificate chuo kikuu but masomo yote ya science...
Wakuu, bila kupoteza muda, Kwanza niwasalimu na niwape pole na mihangaiko ya siku nzima.
Nia ya huu uzi ni kutaka kufahamishwa ni zipi alama za ufaulu kwa kidato cha sita ambazo ni current.
Asanteni
Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha 4 mwaka 2012 ana D zote na C mbili ya kiswahili na Civics yaani div 4:26 je anaweza kusoma nn kipindi hiki? Masomo ya sayansi Phys, Chem, Bios na Maths yote Ana D
Niko mwaka wa tatu kozi iliyotajwa hapo juu. Niliichukua kozi hii kwa kukosa mwongozo wa vyuo ninavyoweza kusoma kozi hii ambayo niliipenda tangu nikiwa shule ya msingi.
Ninachouliza ni kama...
Wakuu naomba kujua utaratibu wa kuhairisha chuo na gharama zake maana nimechaguliwa MIHAYO TABORA ila mkopo nimekosa, hivyo nataka kuhairisha ili mwaka kesho nisiangaike na TCU na mwaka huu...
kuna taarifa zinasambaa kuwa eti waziri Ndalichako amesema waliokuwa wanufaika wa mikopo kutoka HESLB waanze kulipa kama mkataba ulivyokuwa unasema au wafike loan board kueleza hali zao kiuchumi.
Wakuu mwenye kufahamu wapi hapa Tanzania chuo kinachofundisha CCTV , au kama sio chuo ni wapi kwingine sehemu gani wanafundisha hiyo kitu. Itakuwa vizuri kama atatusaidia na gharama za fees na...
HESLB Kuweni makini na maisha ya watu! kama kuna staff humu yeyote wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu basi kwa heshma na taadhima awe balozi kuufikisha ujumbe huu
Naandika haya kwa huzuni kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.