Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Najua kuna chuo cha kidiplomasia kilichopo Kurasini Dar es Salaam lakini ningependa kujua kama kuna chuo kama hiko(kinachotoa kozi hizo) mkoani hapa. Natanguliza Shukrani.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
FACT KUHUSU ZEBRA 1. Punguza mwendo unapoikaribia zebra ili angalau uwe katika mwendo wa uwezekano wa kusimama ikiwa kuna mtu atakuwa anavuka barabara au kutaka kuvuka barabara. Kisayansi mwendo...
10 Reactions
18 Replies
7K Views
Heri ya mwaka mpya wanajamvi. Nahitaji msaada wa kisheria na kielimu ili niweze kufikia ndoto zangu. Mimi ni mwanafunzi wa kitivo cha elimu chuo kikuu SAUT Mwanza compus. Nikisoma Bachelor of Arts...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wadau , Naomba kujuzwa shule nzuri ya primary kwa hapa Dar na hasa wilaya ya Kinondoni. Na ninaposema nzuri kwangu namaanisha vitu hivi hapa, 1. Mahali ambapo elimu inayotolewa inampa mtoto...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau natumaini wote wazima. Natafuta watanzania waliopata scholarship ya CHEVENING ya kwenda kusoma UK mwaka huu. Plz call me 0757911080
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau habarini za jioni. Naombeni Msaada kwa anaejua shule nzuri ya awali kwa mkoa wa Geita. Na gharama zake pia
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam sana.wakuu napenda kutoa pongez kwa uongozi wa chuo kikuu ruaha(rucu)cha iringa kwa kuzuia wanawake kuvaa nguo za kiume(suruali)kwa mazingira ya chuo muda wote(usiku na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninadogo kamaliza form 4 kapata 0 wadau nataka kumrejesha form 2 yeye anahitaji form 3 mnaweza nisaidia ushauri wenu?? Nini nifany3
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Mimi ya kwangu ni kuandika summary na kurudia rudia ...but niko advance naona mambo mengi nasahau haraka naombeni mbinu zenu
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Habarini wakuu!! Naomba kwa nayejua shule nzuri za watoto wa umri wa miaka 4 na kuendelea maeneo ya Tabata mpaka Kinyerezi aniambie na ada zake kama zinajulikana!! Asanteni saana
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama kuna mdau anajua utaratibu wa kuapply sholarship kwenda nchi kama ukraine , china , Malaysia au nchi nyingine ambazo ni mshirika mzuri kusaidia elimu ya bongo naomba utupie. Kuna dogo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna vyuo vimechangamkia offers kama hizi? Download Microsoft Office 2016 at no cost - Student & Faculty Academic Discount | OnTheHub
0 Reactions
0 Replies
591 Views
Hebu angalia chuo chako hapa ni ranking inayofanyika na wataalamu, pambane na Hali za vyuo vyenu, Hizo nyuma siyo Ada, bali ni Ranking hahaha 2098University of Dar Es Salaam 2354Muhimbili...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari za muda huu wanajukwaa Kwenye mwili wa mnyama (mwanadamu) kuna ogani au viungo mbalimbali ambavyo huunda mifumo mbalimbali ya mwili Utendaji kazi wa mifumo hiyo huzalisha vitu vingivingi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama swali linavyouliza hapo juu, si kawaida kufika Christmas matokeo ya CPA(T) yanakuwaga yashatoka ila kwa msimu huu yamechelewa kidogo.Au kuna uwezekano wa kuyatoa leo? Wengine ni graduates...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Wahusika wa usajili wa vitambulisho vya utaifa ...sasa najua mko kwenye kanda zenu mkisajili watu lakini kumbukeni kuwa kwenye hizo kanda kuna wakazi hawapo ..watu hawa ni wengi na wako mbali na...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Katika uchunguzi wangu nimegundua uuguzi ni moja ya fani za afya inayodharaulika na hii ilitokana na background history ya fani hii, fani hii mwanzoni ilikuwa watu kutoka darasa la saba na wakati...
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Habari zenu watanzania wenzangu na vijana wenzangu.Ninaomba niwapatie ushauri kwenu mliohitimu na kwa wale ambao bado wapo vyuoni.Fanya haya mambo matatu ili kujiongezea thamani kwenye soko la...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwny vitabu vya novels na plays za a-level anitumie au anielekeze jinsi ya kuvipata Nitashukuru sana ndugu zangy
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kijana anapenda kusomea ICT mwakani kupitia mkondo wa Certificate na Diploma na baadae Degree. Nimegundua vyuo vinavyotoa ICT ni vingi sana. Vyuo vikuu vingi vina program za aina hiyo kupitia TCU...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Back
Top Bottom