Heshima mbele,
Kama mnavyojua saizi ndio muda wa watoto kwenda shule, napenda kujua shule nzuri english medium maeneo ya Ubungo, Mabibo, Sinza au Kijitonyama. Shule nzuri na karo yake pia...
Sasa shule zinafunguliwa wazazi tunawaandalia vitabu gani wakati matokeo bado?
Mbona hii wizara inarudi nyuma jamani?
Prof. Ndalichako unafanya kipi sasa?
Huwa najiuliza sana bila kupata majibu kwa nini hili darasa limekuwa likipitia changamoto nyingi sana. Wengi wao ni vijana walizaliwa kati ya mwaka 1988-1993 ambao walianza shule ya msingi yaani...
Kama ambavyo nimeuliza hapo juu nina uhitaji mkubwa wa kitabu hiki. Nilikisoma juu juu tu nilipo shule lakini sasa naona kuna haja ya kukirudia tena na tena nahisi huyu mwandishi aliandika hiki...
Wadau wa JF
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUNGULIWA KWA USAJILI WA WATAHINIWA WA KUJITEGEMEA WA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) NA MAARIFA (QT) 2018
Kila mtahiniwa anatakiwa kufanya 'registration'...
Kiukweli serikali iwe inapita Mashuleni kufanya ukaguzi wa vitu mbalimbali Kama vile uwepo wa vitabu na miundombinu kutokana na mazingira ya shule nyingi kutovutia Kwa wanafunzi kujisomea na...
Amani kwenu wanafikra, kumekuwa na mkanganyiko mkubwa(kutofautiana) katika uandishi wa azimio la kazi hasa kwenye kipengele cha ASSESSMENT/UPIMAJI ambapo kuna wengine wanaandika kwa mtindo wa...
Habari zenu wanajamvi.
nina binti yangu , anatakiwa kuingia form four mwaka huu anasoma day ila nataka kumhamishia boargding. hata kama ikibidi arudie form three sio mbaya. naomba msaada wa shule...
Wakuu nilitegemea chuo kama DIT wawe bize hata kujaribu kutengeneza baadhi ya software au basi wawe bise kudiscus vumbuzi mbali mbali.
Au basi wawe bize kufuatilia Teknolojia za wenzao huko...
Kupitia Shirika la Friends of East Africa Chieldhood Development Care and Education Tz, kwa ushirikiano na Omep world www.worldomep.org/
Wanapenda kuwakaribisha wadau wote wa Elimu kwa kuanzia...
Hebu jukwaa pendwa la wadau wa education tushare uzoefu wa matokeo ya mock maana nimetumiwa matokeo ya mock siyo poa yaani huku kwetu Pwani nimepata shock kidogo maana mitihani ya kawaida but...
NA: ERNEST BONIFACE MAKULILO (MAKULILO, JR.)
CALIFORNIA, USA
Makala nne zilizopita zimekuwa zikichambua hatua za kupata udhamini ughaibuni. Hatua hizi ni nyingi, na makala ya leo inaendelea...
Samahani wandugu kwa usunbufu
Nataka postpon chuo, then nipage kaz ka 3 yrs, then nije niombe transfer
Niko first year, hlf ni loan benefishary, nisomee huko ntakapokuwa vip itaeezekana??
Na...
Naomba msada wa kutaka kusoma vitu vilipita au diskasiwa muda mrefu nikitaka kuvisoma tena leo napata tabu kupalaza simu kutafuta vitu vya nyuma sivioni.
Hivi huku hakupo kama google kama...
Wadau naomba kama kuna mtu ana past papers za English 1 na 2 pamoja na Kiswahili 1 na 2 anisaidie. Nataka zilizo kwa soft copy, ukiweza nitumie kwa email sengojupendosengo@yahoo.com
Nature ya...
Habari zenu wana jukwaa la elimu. Ningependa kufahamishwa ni course gani za muda mfupi ambazo mtu anaweza kusoma maybe kipindi akisubiri kujiunga rasmi na chuo?
Habari za jioni wana JF!?
"Habari za uzima wapendwa. kwa wenye watoto waliomaliza la saba ikiwa mwanao amechaguliwa public school na hatoenda unalazimika kupeleka shule aliyochaguliwa barua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.