Habari wana Jf naomba Kwa wanao ifahamu hii kozi ya fitter mechanics inayotolewa veta ni kozi inayo husu kusoma vitu gan ki undanii zaidii na pia ajira ya hii kozii inapatikana kwenye shughuli...
Wadau kwa mtu anayeijua center nzuri kwa ajali ya review ya masomo ya uhasibu cpa kwa mkoa wa Mwanza tafadhali naomba anifahamishe ... mahali ilipo pamoja na fee intermediate kwa somo itapendeza...
Matokeo ya CPA kawaida huwa yanatoka kabla ya xmas ambapo January inapoanza watu wanakuwa wanaanza maandilizi ya kusoma kwa ajili ya masomo yajayo ila awamu hii imekuwa tofauti mpaka sasa matokeo...
Wakuu kama mnavyoona headline kuna anayefahamu tofauti ya module na semester kwa kozi za masters pale UDSM hasa za evening na je inachukua wiki ngapi kukamilisha module moja??
Ahsanteni
Andika namba tukuweke kwenye group la WhatsApp la kujadili topics za biology, chemistry na physics
Mjadala ni Kwa lugha ya kingereza tu,uwe unataka kuwa fluent kwenye masomo hayo
Nimejaribu kufanya application kwa ngazi ya Diploma ila wanataka niapload cheti cha form four na ninayemfanyia hana maana kamaliza mwaka 2016. Nahitaji msaada kwa aliyefanikiwa kufanya application...
Msaada ndugu nataka kufahamu shule za private ambazo zinafanya vizuri kwa kidato cha nne ila ziwe katika mikoa ya Mwanza na Shinyanga ada isizidi 1,500,000/=
Wakuu kama kichwa cha habari kilivyo, naomba kama kuna mtu mzoefu na anamudu vilivyo kuwafundisha watoto lugha ya kiingereza na masomo mengine ya shule ya awali bas ani PM tuongee utaratibu wa...
Naona yapo katika div. na watoto wengine wameandikiwa referred, je div I had IV ndo wanaruhusiwa kujiunga na kidato cha 3? Na hawa walioandikiwa referred ndo wakurudia?
Nauliza tena je Kimantiki ( logically ) kabisa Tanzania ina Wasomi au ina Watu tu waliohudhuria Shule? Na mkinijibu hili swali langu tafadhalini nitaomba pia mnipe tofauti ili Kuntu kabisa na...
Wakuu habari za muda, kwa ambao wamesoma CPA (uhasibu). Naomba materials na past papers za foundation stage...nahitaji kununua...no 0658327429 DSM
Natanguliza shukrani.
Habari Wandugu
Ni matumaini yangu mu wazima.
Ni jana tarehe 08/01/2018, baraza la mitihani la taifa lilitangaza matokeo ya upimaji ya kidato cha pili na darasa la nne. Mimi pia nikiwa ni mdau wa...
Wadau
Kitu gani kinakuwa kikwazo kwa website ya NECTA inagoma kufunguka zaidi ya saa 30 toka matokeo yatangazwe au ndo teknolojia duni ya wataalamu wetu. Inashangaza sana matokeo yanatangazwa...
Wakuu habari napenda kuuliza Mtanzania wa kwanza kupata PhD na katika chuo gani?
Si vibaya kama wakitajwa hata 10 katika mpangilio.
Note: Lengo langu ni kufahamu wazalendo hao; nikiamini kwamba...
Jina langu naitwa Baraka clemence kwa sasa Niko mpanda nilikuwa naomba msaada hata wa mawazo kifupi mwaka 2014 nilimaliza form six nikajiunga na chuo kikuu udsm Bsc.in mechanical engineering mwaka...
Sio kawaida yao kuchelewesha matokeo kwa kipindi kirefu kama hiki na hawajatoa taarifa yoyote wala kuomba radhi.
Wanasababisha wahusika kufungua ukurasa wao mara sita kwa siku.
Nawashauri waeleze...
Wakuu nina mdogo wangu wa kiume, amemaliza form 4 2016, kwa bahati mbaya matokeo yake hayakuwa mazuri na yanatia aibu sana(D tatu na C moja). Sasa dogo kazunguka na maisha ya mtaani kwa mwaka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.