We kijana mbona unasumbua sana watoto wa watu, sasa hivi umewafelisha makusudi. Mbona huna utu roho mbaya imekujaa, unadhani wazazi wanapata wapi ada za mchezo? Badilika.
Huyu mwalimu ni wa chuo...
Kama unafam mambo haya naomba unijize.
Hivi inawezekana kijana raia wa Kenya anaesoma shule ya serekali nchini Kenya kupata uhamisho na kuja kusoma shule ya serekali hapa Yanzania?
Kama mdivyo...
Kuna kuchanganya mambo elimu bure mwisho ni Form Four
Media zisisahau hiki kipengele wazaz wana raha kutolipia lakn wasisahau sheria na matamko.
Wapitie daftari na mazoezi ya watoto wetu...
Habari bandugu ?
I hope mko poa kabisa na mnaendelea na majukumu yenu km kawaida, anyway nisiwachoshe sana niende moja kwa moja kwenye hii issue ambayo mpk sasa inaniumiza kichwa sababu nimekuwa...
Habari za jioni wana JF.
Poleni sana na pilika pilika za kutwa nzima za kutafuta riziki.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba kwa yeyote anayejua chuo cha Kiislamu jijini Dar es Salaam...
Habarini wakuu,
Kutokana na kukosekana na forum ya wanachuo pekee. Nmefungua thread hii ili kushare na kushirikiana kwenye mambo tofauti.
Thread hii utakuwa sehemu ya kushare college books...
Wanajamii wenzangu hapa JF, napenda kuelewa zaidi kuhusu mtu aliye reseat kidato cha nne na akafanikiwa kupata ufaulu unaomuwezesha kusoma A-level akimaliza. Endapo akimaliza A-level akafanikisha...
Habari zenu wanajf mimi ni mwanafunzi wa 1st year bachelor of economic and finance nataka kufanya CPA kuanzia mwezi5 ili nijiongezee thamani naombeni ushauri wenu
Ni marufuku shule kukaririsha, kuhamisha au kufukuza wanafunzi wanaofeli” – Wizara ya Elimu
January 12, 2018
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo January 12, 2018 imetoa agizo kwa shule...
Heshima kwenu wanajamvi. Napenda kushare hili na walimu wote wa masomo ya science na engineering, Kuna watu wameamua kukaa chini na kuona ni vyema Kuwa na Chama ambacho kwa umoja, ubunifu na...
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamemtuhumu Rais wa serikali yao, kwa kukiuka katiba na kutumia nafasi yake kufanya mambo ya hovyo badala ya kutetea maslahi ya wasomi hao ikiwamo...
Shule za Msingi na Sekondari zinaweza kuwa elimu ya gharama kubwa katika baadhi ya nchi hapa chini, ni baadhi ya Shule zilozopo Tanzania ambazo hutoza gharama kubwa za ada kwa mwaka ikiwa ni ya...
Kituo cha Jenga Uwezo kilichopo manispaa ya wilaya ya Missenyi kinatoa mafunzo Bora kabisa ya awali kwa watoto miaka 2_6 (day care) Na walimu wapo wakutosha Na twisheni kwa Sekondari Na primary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.