Mimi Mzazi nikikosa hela ya kununulia sare za shule na nimeambiwa nimpeleke hivyo hivyo akiwa hana sare,sasa katika hili inamaana sare zimeshafutwa???naombeni mnisaidie kama kuna mtu anajua.
Nadahani kila mtu mpaka sasa anajua ya kwamba hawa nbaa hawajatoa matokeo, sasa cha ajabu leo wameweka tangazo eti tuwe na subira ya kusubiria matokeo na mbaya zaidi mitihani ijayo ipo kama...
Habarini humu ndani na heri ya mwaka mpya. Ni muda sana sijazurula humu JF,
moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Iko hivi nimepata taarifa kuwa elimu ya msingi imekuwa ni miaka 6 kuanzia...
Jamani wanajf,naamini wenyeji wa mwanza mpo na ndiyo mtakaonipa msaada wa dhati.Kuna mdogo wangu kafeli kidato cha nne,sasa nimepewa jukumu la kumtafutia shule ya kiislamu,O level na iwe Mwanza na...
Habari zenu wakuu, natumai wote ni wazima, na wale wenye matatizo ya kiafya ama mengine mungu atawaponya!!
Lengo langu la kuandika uzi huu ni kutafuta mtu ambae nitafanya nae kazi katika tuition...
Ni zile shule za sekondari hasa za serikali za zamani, miaka 1990 kurudi nyuma kwenye 80s na 70s. Shule kama Azania, Tambaza, Ilboru, Tabora Boys and Girls, Weruweru, Umbwe, Moshi Sec(Old...
Kwa walimu wa shule za msingi zinazotoa huduma kwa lugha ya kiingereza na shule za sekondari.
Tunatoa maazimio ya kazi kwa masomo yote. Ni maazimi (schemes of work) zilizoandaliwa tayari, wewe...
Ewe Prof Moyo, unaendeshaje chuo bila kuwa na Prospectus 2017/2018? Mwongozo wa academic affairs ni upi? Where do you derive your academic mandate/MWONGOZO? Almanac 2017/2018 iko wapi?
Mwanafunzi...
Walimu wa masomo ya sekondary+msingi mnahitajika kwa haraka saaana kwa ajili ya kupat ajira ya kudumu.
Kwa sekondari masomo yote,advance,pia chuo kikuu.
Masomo haya wewe kma mwalimu utayafundisha...
Habari wanabody,
Km heading ilivyotangulia baadhi ya shule za awali maaruf kwa jina la nursery zimekua zikifanya ulaghai kwa watoto na wazazi na sina uhakika km anaepanga tatizo ni mmiliki wa...
Wanajamii naombeni msaada wenu nifanyenini ili nifanye vizuri katika mtihani wangu wa kidato cha sita niko kombi ya PCB na apa. Kichwani sina kitu saa nifanye nini ili nipate ata division three
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.