MUHIMU SANA
Digital Loan Disbursement Solution
Habari za leo wadau?
Tunakaribia kuanza kuwalipa wanafunzi wanufaika wa mikopo mkupuo(quarter) ya tatu kwa mfumo wa haraka wa HESLB-CRDB...
Habari wakuu.
Naomba kufahamishwa juu ya elimu ya QT inavyotolewa.
Mfano...
Jinsi ya kujiunga.
Mahali inapotolewa.
Vigezo vya kujiunga na hiyo elimu.
Inatolewa kwa muda gani.
Mtaala unatumika.
Kwa...
Wana JF habari yenu humu..
Nilikuwa nataka kuuliza swala moja hasa kwa wale waliowahi kupitia au kuhama chuo kimoja kwenda kingine. Ni namna gani unaweza kuhama kutoka chuo kimoja kwenda kingine...
Raisi Jakaya Kikwete amesisitiza nia ya Serikali kutumia wahitimu wake wa
vyuo vikuu, kufundisha shule za msingi huku akiwaweka sawa kwa kuwaambia kufanya hivyo si kuwashushia hadhi.
Hatua hiyo...
Mimi Ni Kijana Niliefanya Mtihani Na Kupata Alama Zisizo Ridhisha Je Naweza Jua Ni Sifa Gani Zinazo Weza Kunipatia Nafasi Ya Kujiunga Na Chuo Cha Uandishi Wa Habari?
Ngazi ya Cheti/certificate uwe...
Samahani wana jamvi mwenye kujua tasisi au shirika linalotoa udhamini wa masomo ya chuo nje ya nchi anisaidie kuna mtoto wa Dada yangu amemaliza iv anahitaji kusoma sayansi samahani kwa usumbufu
TUTAFUTE SULUHU YA KUDUMU KWA TATIZO LA WAALIMU NCHINI.
Kashasha
#Hadi kufikia mwaka 2014 tulikuwa na shule za msingi Tanzania 16,343.Shule hizi kwa pamoja zilikuwa na idadi ya wanafunzi zaidi...
Baada ya kukaa sana hapa nchini katika kupigana na kusoma nimeona bora nibadili muelekeo wa kusoma kwa kutafuta fursa za kimasomo nje ya nchi kwa kupata udhamini katika masomo hayo, kutokana na...
Kwanza ningependa kuwapa pole kwa shughuli mbalimbali mnazofanya.
Leo napenda kushare nanyi katika uzi huu kwa wale wenye uelewa Kuhusu fani ya IT.
ningependa kujua ya kua ili uweza kufanikiwa...
Habari ndugu zangu na wa Tz wote kwa ujumla.Nianze kwa kusema nirahisi kufurahi kuanda shamba kwa kuchoma moto kuliko faida inayopatikana baada ya moto huo kwani mawili yanaweza yatokee kama...
Habari, mimi ni mwanafunzi niliye hitimu kidato cha nne mwaka 2015, kiukweli matokeo yangu hayaridhishi, nilikuwa nataka nikarudie mtihani mwaka huu ili nisafishe cheti, je naruhusiwa?
Pia...
Mwanzoni nilijiuliza hili swali mwenyewe nikakosa jibu......Najaribu kufikiria tu haitaki kuingia akilini kabisa serikali ndiyo imeishiwa mbinu za namna ya kudhibiti huu upungufu wa waalimu?!!! Au...
Wadau wanandinga wenzangu naombeni msaada wa "past papers" za masomo yote, za shule mbalimbali iwe za kata mpaka International zikipatikana. Nina shida ndg yenu ya kuwasaidia wadogo na watoto wetu...
Jamani naombeni mnisaidie vyuo vya kilimo na mifugo jinsi ya kuapply,na kama vipo vya private karo zao nishilingi ngapi? Naombeni msahada kwa hilo wakuu.
Wana jamvi naomba kujifunza mgawanyanyo wa majukumu kati ya mmiliki wa shule ,bodi ya shule
Mimi ninavojua shule na mwenye shule ni vitu viliwili yaani shule inasimamiwa na body ya shule lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.