Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mh.Waziri wa elimu kwa heshima kubwa tunakuomba ukitembelee chuo cha Mwl.Nyerere kuna matatizo makubwa ya upatikanaji wa huduma kutoka kwa Afisa Mikopo aliyeyopo. Afisa huyu amekuwa msumbufu...
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Kipindi cha nyuma kidato cha pili wanafunzi walikuwa wanapimwa kwa wastani wa masomo yote anayosoma nakumbuka kwa miaka niliyokuwa nasoma wastani wa kufaulu kwenda kidato cha tatu ulikuwa 30...
7 Reactions
53 Replies
9K Views
Habari ya mchana wakuu. Bila kupoteza Muda Naomba niende moja kwa moja Kwenye hoja, mimi Naomba kusaidiwa link ya kupata video mbalimbali za masomo kama vile video ya kitabu cha Ngoswe, kilio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sayansi kimu na vipengere vyake
0 Reactions
0 Replies
5K Views
TCU na vyuo vikuu nchini bado havijaweka sifa ya kumaliza Law school of Tz au kuwa wakili kuwa moja ya sifa ya kufundisha SHERIA/LAW ktk vyuo vikuu. Sheria ni tofauti na fani nyingine. Sheria ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Naomba ushauri wenu. Mim nilichaguliwa kujiunga na chuo huko mwanza. University. Lakin nilipofika huko sikujihusisha na masuala ya chuo. Niliamua kukusanya fedha zote...
0 Reactions
0 Replies
433 Views
hii ni thread special kwa ajili ya wanafunzi wa mzumbe kujuana na kujadili mambo tofauti,pia vyuo vingine mnakaribishwa.kwanza kabisa chuo kitafunguliwa tarehe 14.10,mwenye mengine endelea
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Kama mlivyosikia kutoka vyombo vya habari hivi karibuni kwa kuibuliwa ubadhirifu katika mkataba kati ya chuo UDSM na kampuni ya uwekezaji ya mlimani holding ambayo inasemekana mnamo mwaka 2003...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu i just want to know kama kuna utofauti wa mitaala ya elimu ya vyuo kati ya Tanzania na zanzibar
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu,shule za primary ni dhahiri zina uhaba mkubwa mno wa waalimu kuliko hata secondary, cha ajabu serikali imechelewesha kupeleka waalimu kataka shule hizo mathalani unakuta shule ina wanafunz...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Salaam, naomba ushauri, Nina ndoto za kuwa engineer lakini advance yangu haikuwa nzuri kuniwezesha kusoma degree, nilisoma pcm, naomba ushauri wa njia bora ya kutimiza malengo hayo. Asante
0 Reactions
3 Replies
691 Views
Wadau naomba mwenye kujua njia bora za kufundisha lugha ya pili husani kiswahili kwa watoto wanaoongea lugha za makabila yao.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Salamu sana wana bodi. Ninaleta huu uzi Kwa masikitiko makubwa. Vijana wamehitimu degree yao Chuo cha usafirishaji cha taifa tokea mwaka jana mwezi wa nane. Kipindi chote hiki kimekuwa ni...
5 Reactions
24 Replies
5K Views
Mpaka sasa walimu wanafundisha kwa kutumia vitabu vya zamani katika mtaala mpya. Sijajua kama hili ndalichako analijua au ameamua kukaa kimya wakati wahanga wa mtaala huu wanafundishwa kwa vitabu...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakati serikali ya Tanzania ikitekeleza sera ya elimu bure kwa shule za msingi na sekondari, serikali ya Morocco inakusudia kupeleka mswada wa sheria bungeni ili kufikia tamati ya kutoa elimu...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Habari. Najua wote tunavijua vioo kwa kuviona na kuvishika na kufika mbali zaidi kuvitumia. Baadhi yetu tulishawahi kujiuliza hivi kioo ni nini? wengine tukadiriki kusema labda huwa vinachimbwa...
12 Reactions
32 Replies
11K Views
Habari wakuu Poleni na mihangaiko ya hapa na pale wengine wazazi wetu ila nawapa Heko/hongera kwa kuhakikisha vijana wenzangu wanarudi mashuleni kuendelea na masomo yao. Naomba nirudi kwenye...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
How silent (non -verbal) language or hidden language affects International business transaction? Kama kuna kitabu kinachoweza nipa muongozo wa kufikia ninachokitaka ktk swari hilo naomba link
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Habari zenu natumai mko salama..... Ninaomba kwenda kwenye lengo la Uzi huu Mimi ni kijana yatima (wazazi wangu walifariki nikiwa mdogo) kutokea mkoa wa Mwanza, kwasasa ninasoma chuo kikuu cha...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Back
Top Bottom