Habari za muda huu waungwana!..
Nimemalza kidat cha 4 mwaka 2010 na kupata ufaulu huu
div 3 pt22
Phy=>C
Bios=>C
Chem=>C
Math=>D
Geog=>D.. nk. kiufupi hakuna somo nlilopata F
Nilichaguliwa...
HAKUNA SHORT KATI KWENYE ELIMU
#Haya matokeo ya Kidato cha nne yamebeba mambo makuu 2
1. #SWALA LA UCHANGIAJI
#Kwenye elimu hakuna Short Kati, swala la kupata elimu bora lina njia zake. Shule...
Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya tatu kitaifa Anna Mshana kutoka shule ya wasichana ya Mariana iliyoko Mkoa wa pwani amesema mtoto wa kike ana uwezo wa kufanya vizuri kimasomo kama atajituma zaidi...
Habari za saa hizi wakuu, naomba kufahamishwa kuhusu chuo tajwa hapo juu, kinafundisha masomo kuanzia ngazi ya cheti,diploma,degree hadi Masters katika fani za IT,Hardware and Networking pamoja na...
Habari wakuu, mdogo wangu amepata division 3 ya point 23, amemaliza kma private candidate..nauliza kuna uwezekano wa kupata selection kwenye shule za serikali?? Mwenye uelewa anisaidie please
Kila taifa linajukumu la kusimamia elimu. Elimu ya nchi hutegemea kwanza public schools. Private ni kwa sababu maalum tu lakini nchi haiwezi kuinuka kuelimika kwa kutegemea private kwakua kwao...
Elizabeth Mangu, mshindi wa pili Kitaifa katika mitihani ya kidato cha nne amesema kumtanguliza Mungu katika kila kitu, ndoto ya kuwa wa kwanza, bidii kwenye masomo na usimamizi wa karibu wa...
Wabari wapendwa.
Nipo kwenu kwa wadau wa Elimu kuomba ushauri.
Nina dadaangu wa damu kabisaaa ambae amekua akini sarport ktk masomo yangu, yaani amekua akinisaidia kwa kila kitu, kwanzia mambo...
Habar wana jf
Ni kitambo sasa kimepita xijaonana na school mates wangu niliosoma nao BULYAGA PRIMARY SCHOOL TUKUYU MBEYA MWAKA 2001-2007, Kama mpo humu njooni pm tusalimiane maana ni muda kweli...
Nawashauri vijana wote mliomaliza kidato cha sita au Diploma , msikiombe chuo cha taifa cha usafilishaji yaani NIT cha hapa mabibo Dar es salaam kwani kwa atakayejichanganya kufanya hivyo atajuta...
Wadau hope mko salama,
Naomba kama kuna aliyepata orodha ya walimu wanaoenda Primary kutoka Secondary anisaidie hapa. Najua JF huwa hakikosekani kitu. Matumbo joto hapa. Pia niliona kuna ka alama...
Kwa yoyote anayejua, nimekutana na hii"DIPLOMA IN TEACHER EDUCATION WITH AN AVERAGE OF C GRADE"swali ni kwamba ili cheti kiwe na sifa hiyo inatakiwa uwe umepata alama zipi.
Mwenye uelewa wa hilo...
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limesema mitihani ya kuhitimu kidato cha sita itaanza Mei 7 hadi 24, 2018.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Necta Januari 26, 2018 inaonyesha...
Nina mdogo wangu anasomea sheria UDSM, yupo mwaka wa 2, of course tangu akiwa Advance alikuwa anapenda sana kusomea sheria. Sasa tatizo limekuja hivi karibuni anadai msuli wa sheria unataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.