Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
N vepe jf?Naulizia shule nzuri ya private kwa advance masomo ya sayansi specifically PCM kwa mikoa ya mwanza na tabora. Nina vijana kama watatu hivi.
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari za saizi wana JF, naomba tushauriane eti pre form five tuitions ipi ni nzuri kati ya public(ya kwenye centres) na individually/table teaching?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
2 Reactions
11 Replies
2K Views
The Positive Action for Children (PACF) Scholarship Fund combines completion of a health/development-focused qualifying MSc programme with practical industry experience to equip students with the...
0 Reactions
3 Replies
850 Views
Kwa anayefahamu sifa za kujiunga na laboratory techniques ni zipi? Na Maombi wanaanza kutuma lini?
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Wadau naomba kujua ni software gani nzuri inayoweza kuweka vipimo vya picha za photo Entry. Yan upana 132, urefu, 185 na resolution ya 72. Ikipatikana inayoweza kuprocess picha zaidi ya moja...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Lile shirika ambao lilijitanabaisha kuwapata wanafunzi mikopo TSSF, sasa wamefungiwa rasmi kufanya shughuli za utoaji wa mikopo ya elimu ya juu badale yake serikali imewataka kupeleka pesa zao...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wadau; Kuna ndugu anahitaji ushauri, Huyu bwana amemaliza kidato cha sita 10 years,PCB ila hakubahatika kuendelea na elimu formally ingawa informally amesoma vitu vingine has kenye field...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Nilikuwa naangalia matokeo ya form 4, nimeshangazwa na wingi wa shule za sekandari mkoani kilimanjaro. mkoa una watu 1.6m una sekondari za o-level 279! Dar ya makonda ina watu 5m na shule za...
13 Reactions
175 Replies
24K Views
Elimu bure haizihusu shule za serikali zinazofundisha kwa kiingereza. Hata shule hizi zimeachwa ziendeshwe kiholela. Ada na michango kwenye hizi shule havina mpangilio. Kwanini serikali isiweke...
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Habari. Kama kuna mwandishi wa vitabu vya kiingereza vya hadithi za watoto au mwandishi wa vitabu vya kiingereza vya mila na desturi ya makabila ya Tanzania au mwandishi wa vitabu vya kiingereza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
You can ask any question of history ....it's special for students, especially from form one up to six........you're most welcome......
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nina mtoto wa kaka yangu amemaliza form four anataka asomee awe nurse wa hospitali. Naomben mnitajie list ya vyuo na mahala vilipo ndani au nje ya Dar es salaam
0 Reactions
31 Replies
12K Views
Kama mtu ana four ya 29 ya form four kuna fursa gani anaweza kuzifata.. Za kimasomo, pia ata kwa mtu binafsi....
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu nilitegemea kuuona mkoa wa Dar kwenye kumi bora ya mikoa iliyofanya vizuri kwenye mitihani ya kidato cha nne hasa sifa ninazozisikia za mkuu wao wa mkoa almaarufu kama bashite kuwa ameanza...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Kama wewe umewahi kukumbwa na tatizo hili,bila shaka utakuwa unanielewa,lakn pia yawezekana umewahi kusikia au kuona kwa wengine,,kuna masomo mahususi ambayo ukifeli,hata kama ulikuwa na Division...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Taifa lisilo na wasomi ni taifa mfu! Nawashauri bodi ya mikopo ya elimu ya juu kuangalia uwezekano wa kukopa pesa benki ili waweze kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wanaostahili ikiwa pesa walizo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Naomba kujuzwa namna ya kuomba nafasi na muda wa usajili kwenye vyuo vya kilimo na mifugo MATI) Mdogo wenu anataka kwenda kusoma huko Naomba kuwasilisha
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom