Nimekuwa nikifatilia matokeo ya mitihani ya Kitaifa especially kidato cha nne na kidato cha sita.
Hoja yangu ni kwanini wazanzibari na shule za uko ndo huongoza kushika namba za mwisho wakati...
Kulingana na utafiti uliofanywa na shirika la HakiElimu (2017) juu Matokeo ya Utekelezaji wa Sera ya Elimu bila Ada kwa Elimumsingi nchini Tanzania umebaini kuwa uelewa wa wananchi kuhusu sera ya...
Habari zenu wana Jf,
Mdogo wangu wa kike Amefaulu kidato Cha nne kwa kiwango Cha Div IV ya point 26 na hajafanya vizuri Kwenye masomo ya sayansi. Nataka nimtafutie chuo Cha biashara kwa ngazi ya...
Kwa wale vijana tuliosoma secondary hapa dar hebu tukutane hapa na kujikumbushia haya yafuatayo MIAKA 95 HADI 2005
KIPINDI HIKI
1.Shule ya azania , pugu na tambaza zilikuwa zinajulikana...
Eti mikopo kwa wanafunzi wa Diploma itaanza kutolewa mwaka huu? Na vipi kuhusu sisi tuliopitia PC kwa CSEE, tunaweza pata mikopo? Na PC wa ACSEE eti chuo wanapata mikopo?
Somo la hapo juu lahusika.
Wadau naomba msaada wa kujuzwa Shule ya Sekondari ya Binafsi (nzuri) yenye kufundisha mchepuo wa ECA ikiwa ya wasichana watupu itapendeza lakini hata kama ni...
NA RUSTON MSANGI.
Ualimu ni kada pekee nchini yenye watumishi wengi kuliko kada nyinginezo. Waswahili husema penye wengi kuna mengi pia.
Ni ukweli usiopinginga kwamba kila kada ina changamoto...
Wakuu kama kichwa kinavoeleza nna mdogo angu wangu ali risiti mtihan ila matokeo yake n mazuru kwan ana B mbili na C tano.. N masom y art ipi combi nzuri kati...
Wakuu anayefahamu shule nzuri kwa kidato cha tano na sita. kwa michepuo ya sanaa.
Shule iwe DAR au Pwani.
Ikiwa ya wasichana tupu itafaa zaidi.
Ada iwe kati ya 1 000 000/- mpaka 3 000 000/-...
Habari zenu wakuu.
Naombaa mtu yeyotee anayejuaa shule nzurii kwa level ya advance zilizopo dar es salaam.. anitajie na kama una contact zao unitumie hapa ntashukuru zaidii nina mdogo wangu...
Habar zenu
Tafadhali naombeni ushaur wenu
Nimepoteza cheti cha form four muda wiki hii sasa kabla cjaenda kurupot polis nimepigiwa cm mahali nikafanye interview na nikafanya tu kibahati...
Mwezi november mwaka jana tuliarifiwa kuwa promotion kwa watumishi imeanza kshughulikiwa.
Naomba kuuliza Kuna mtumishi yoyote ambaye mshahara wake umebadilika au ndio bado wanaendelea kushughulika?
Kwanza ;;Hongereni kwa wale wote walioweza kukidhi vigezo vya kusoma Advanced na kuridhia kuendelea kusoma Advanced.
•~ Moja ya changamoto mtakazo kutana nazo mtakapo kwenda shule hasa wale...
Wakuu nimekuwa nikipata shida sana naomba anaejua AM inaanza saa ngapi na kama inaisha saa ngapi animbie pamoja na PM pia
==========
AM na PM inatumika ktk mfumo wa masaa 12, sio masaa 24.
Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.