Wakuu habari za saiz,polen na majukumu
Kama kichwa kilivyojieleza me ni nurse ngazi ya certificate ila ninataka kubadili nisome diploma ya clinical officer..
Matokeo yangu ya kidato cha nne...
Plz naomba msaada,
Nani anafanya uteuzi wa Mwalimu mkuu (Primary level) na Mkuu wa Shule (Secondary Level) kwa shule za serikali.
Plz naomba msaada wenu wakuu!
Wana JF habar zenu.
Kwa umuhimu wa hii certification ilivyo na uzito wake pia, hakuna budi tukutane hapa kupeana mawazo, njia, mikakati, ili ambao wamedhamiria kusoma na ku-certify waweze.
Mwaga...
Wadau natumai mnaliendeleza vema gurudumu la elimu. Naomba kwa aliye na mtaala (syllabus) ya somo la dini kwa shule za sekondari anisaidie.
Nimejaribu kutafuta kwenye taasisi ya elimu bila...
Hello guys
Kwa wale mliopitia majengo mnafahamu wastani wa pale ni 41% ili kuendelea na kidato lakini kuufikisha si kazi rahisi, na wanafunzi wanaopata wastani wa 81% kwa masomo yote hawalipi ada...
Habari zenu JF
Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anasoma uganda sasa alikuwa anaulizia kuhusu swala la uhamisho aje bongo na hii ni kutokana na wazazi wake kupata matatizo akiwa mwaka wa 3 mwanzoni...
Bwana mmoja alikwenda kutembea ukweni kwake. Alipokelewa kwa upendo baada ya chakula cha usiku alipewa chumba cha kulala. Ilipofika usiku wa manane alitoka kwenda kujisaidia. Taa zimezimwa na...
Nina A ya Biology, B ya chemia na C ya Physics nimependa kwenda chuo na sio advance lakini sijajua vyuo gan vizur ambavyo naweza kuapply naomben mnisaidie jaman
Wakuu habari zenu .
Naomba msaada wenu nataka kujua haya makato yao ya mkopo w elimu ya juu. Hiyo 15 percent yao wanayoitaka. Je unatakiwa uikate katika net ya mshahara wako unaopokea? ..au...
Wana JF,
Nimeangalia matokeo ya kidato cha nne na kujiridhisha kuwa elimu inashuka vibaya. Watoto waliopata daraja la nne na sufuri ni 70% (Mtanzania la leo-69.85%).
Kwa kuangalia ufaulu wa...
Hivi ni kwa nini mwanafunzi mwenye ufahulu wa pass 4 yaani DDDD,ana option ya kwenda chuo,lakin mwenye ufahulu wa Credit 3 yaani CCC ambazo zimebalance comb ana kibali cha kwenda advance ila...
Ndugu habarini za saizi? Hii inawahusu wale waliomaliza kidato cha nne mwaka jana, wakati tumemaliza mitihani kuna barua tulisomewa toka necta tukaambiwa kuwa matokeo yakitoka unaweza ingia kwenye...
Habari, kuna dogo kamaliza Form four mwaka jana na matokeo yake ni haya
M
26
IV
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' LIT ENG - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F
sasa dogo anataka chuo...
BODI YA TAIFA YA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
MATOKEO YA MITIHANI YA UHASIBU ILIYOFANYIKA NOVEMBA 2017 NA TARATIBU ZA MITIHANI YA FEBRUARI 2018 NA MEI 2018
Bodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.