Oi wana nategemea nyie ni wazima wa afya tele
Ila naomba baadhi ya tips ambazo natakiwa Nipigie ili nivuke kidato cha sita nachukua mchepuo wa PCB na Nina C kwenye masomo ya combination
Msaada...
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa 3 katika chuo cha teofilo kisanji mbeya.Katika hali isiyokuwa ya kawaida siku ya terehe 31/1/2018 mageti yote ya kuingilia chuoni yalifungwa na watu wa halmashauri...
Habar wanajamvi..
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza...
Naomba msaada kwa wale ambao washawahi kununua vitabu online (kwa maana ya mtandaoni) wanisaidie namna ya kufanya..!maana sijawahi kabisa...
Habari za jioni wanajf ni matumain yngu kuwa wazima wa afya.
Kama mada inavyojieleza hapo juu niko hapa naangalia ITV kipindi cha malumbano ya hoja mada ikihusu shule za serikali kufanya...
People who are naturally gifted at writing essays and taking tests. This natural ability helps them breeze through primary education and gets them to elite colleges and universities. There, they...
Wanajamvi, salaam.
Mimi ni mfanyakazi wa kitengo cha fedha katika shule moja Binafsi hapa Mbeya. Kwa muda sasa nimeona walimu hapa wakilalamika juu ya watoto wenye uelewa wa taratibu ( low...
Wakuu nawasalimu kwa jina la Mweyenyezi Mungu.
Nilipambana mpaka nikapata uhamisho ili niwe karibu na familia yangu. Lakini matarajio yangu yamekuwa kinyume. Nimeripot halmashauri afisa elim...
Chinua Achebe is considered the father of African literature in English, the writer who 'opened the magic casements of African fiction' for an international readership. Following the 50th...
Anatia huruma sana huyu mama, uso umekuwa mdogo kama Nukta sasa hivi, anatamani abadilishie gia hewani lkn anaangalia kushoto na kulia anaona haiwezekani na kwahiyo anaamue afe na Tai Shingoni...
Mimi ni mwanachuo kutoka chuo kikuu cha mliman na ninasoma B.com in tourism and hospitality management ila toka imekuja chuon kutoka kigoma wazazi wangu hawajawahi kuniuliza maendeleo yangu ya...
Habari zenu jukwaani.
Ktk kipindi cha mjadala jumatano jioni tarehe 10/01/2018, BBC radio walimulika mapenzi ktk vyuo vikuu baina ya wahadhiri wa kiume na mabinti wanafunzi.
Watu walitiririka...
Ukipitia hii syllabus ni nzuri sana imejaa topics ambazo kama kweli zingefundishwa kwa vijana wetu, wengi wao wangemaliza elimu ya kidato cha nne wakiwa na maarifa ya kutosha kuweza kujitegemea na...
Juzi kuna mdau alileta mada yenye kichwa cha habari kinachosomeka hivi Msitulaumu watu wa Lindi, Mtwara, Zanzibar, Tanga na Pwani kwamba tunafeli! Sababu ni hizi
Kwa sasa Inasemekana kuwa Afisa...
Habarini za jioni wana jamiiforums, kwanini hawa NACTE huchelewesha utoaji vyeti na hati za matokeo, uhakiki wa tuzo ni tatizo huchukua muda mrefu, au kuwaambia wanafunzi wafuate matokeo badala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.