Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kijana huyu amemaliza kidato cha nne mwaka 2011 nakupata daraja la 4 (28)., Matokeo ni kama inavyo onekana hapa chini, *Biology - D *Geography -D *Chemistry -D *Civics -D *English -D...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Jamani wana jf mbona hili swala limekuwa hiding sana kama kuna mtu analifahamu alielezee naona asilimia kubwa watu wanaliulizia.huu utaratibu wa kusoma form five upoje na sifa zake na kama...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari yenu wadau wa JamiiForums leo kwa mara nyingine napenda kuwashauri kidato cha sita juu ya kozi za kujaza endapo utahitaji ajira za moja kwa moja utakapomaliza chuo; Kwa waliosoma ; 1.PCB...
2 Reactions
22 Replies
11K Views
Watu wengine bana wale wakali wa number(Engineers) wamekutwa wakidanganyana eti kwa mwaka huu iko proved kwamba Valentine day haipo.Given Eqution: If VALENTINE DAY =14-02-12 Mathematically...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu? Ninawatafuta, wahitimu wa BSc.Forestry sana wa mwaka 2016/17 kutoka chuo, kikuu cha Sokoine, naomba sana wale mpo humu jukwaani niwapate wakuu Nina shida kubwa sana na nyie Foresters.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni hiv nina amaount ambayo siijui (x) nataka niki izidisha mara 0.18 jibu lake ni jumlishe na hiyo amount ambayo siijui(x) nipate 378 msaada Mfanya biashara nime kwama
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Mdogo wangu ana division two yeye anataka aende EGM nimemshauri aende CBG kwani Physics aliharibu, hivi kati ya hizi comb ipi nzuri sana kwake na for his future EGM au CBG
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari!! Naomba kujua katika mchepuo wa CBG huko advance utatakiwa kusoma masomo mangapi pamoja na combination yako?
1 Reactions
25 Replies
10K Views
Niende Je kozi gani it????????
1 Reactions
54 Replies
10K Views
.. Nilianza foundation CPA. Sasa ndo nimeingia intermidiate nataka kufanya malipo... mkanganyiko unakuja kwenye exempt fee... Je hiyo nitailipia tena?
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Nauliza mweny uelewa na hii kozi ya fitting mechanics inahusu nn hasa mambo ya gereji au mitambo??? Msaada jaman Na soko lke la ajira lipoje
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Njoo kigoma nije kwenye hiyo mikoa idara msingi no 0762888655
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanaelimu, Nia ujitaji sana na past papers za necta solved katika soft copy. Ningepata hata vitabu vya review vingenisaidia ila nipo interior sana mbali na mjini. Nikipiga gharama ya...
1 Reactions
3 Replies
10K Views
Wakuu naombeni kujua mwenye taarifa kama matokeo ya qt form two yametoka ama yatatoka lini msaada tafadhali.
0 Reactions
19 Replies
11K Views
Kwa muda mrefu magic fm 92.9 wamekuwa wakiitangaza shule hii iliyopo Chamazi kama shule bora sana na ni barabara ya kwenda chuo kikuu.Biashara ni matangazo lakini wazazi wasioijua hii shule...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina mdogo wangu wa kike yuko form vi CBE na mwezi wa 5 anafanya Necta...Kinachoniumiza dogo kakataa tamaa ya kufaulu anadai masomo magumu mno, keshatuambia akifaulu sana labda div 3 .....Dogo FM...
0 Reactions
10 Replies
920 Views
Habari wana jf. Naomba nifahamishwe upangwaji wa ada za vyuo vikuu vya binafsi uzingatia maswala gani haswa? Pia kuwepo kwa penalty kwa wanachuo wanao chelewa kulipa ada ni jambo sahihi? Kama ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie wana JF kuna dogo langu linariseat form-6 Je, wanawekewa alama kama wanazopata au hatakama amepata 'A' unawekewa principal pass tu yaan 'C' kama wanazopata ilivyo kwa mfumo wa...
0 Reactions
3 Replies
881 Views
Wadau nataka nifanye mtihani wa form six kombi ya EGM au Historia na GM, mimi ni mtumishi wa serikali nimerudia mtihani mwaka jana nimepata nilichokitafuta matokeo ya kwanza nilikuwa na C mbili...
1 Reactions
48 Replies
9K Views
Nimekuwa nikivutiwa kusoma yaani kujiendeleza kimasomo ila kuna minong'ono kuwa digrii zinaweza tofautina ubora kutokana na chuo ulichosomea. Sasa je, nini tofauti ya degree ya chuo kikuu huria na...
1 Reactions
53 Replies
11K Views
Back
Top Bottom