Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Utakuta kijana kapata div 4 matokeo ambayo anaweza akaenda chuo cha kati lakini ananga'ng'ania kurudia mtihani mbaya zaidi anarudia hata mara tatu na anakosa alichokuwa anatafuta, hafikirii muda...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Kuna mwanafunzi ame graduate form four na kupata ufaulu wa division iv ya point 26. Chemistry D, Biology C, Geography D, English C, History D, Civics D, Kiswahili D, Math F. Je kwa upande wa...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
How to draw the graph of y=-x^2+4x-5 and to use it to solve the equation x^2+4x-5=10
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Poleni na majukumu wakubwa. Ngoja niende straight foward kwenye lengo la kufungua huu uzi. Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kuweza kunikopesha 350K,anisaidie,nitaacha cheti changu original cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna hiki kimoja kinajiita ZIONI..eti wanakozi inaitwa BUSINESS OPERATION ASSISTANT.. ANDROID BEGINER... Hivi NACTE huwa wanafuatilia matangazo ya hawa watu..
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Mpaka sasa japokuwa siyo rasmi lakini inaeleweka mwanasheria namba 1 aliye mbobezi ktk fani na maarifa yake ni Prof Palamagamba Kabudi. Je, upande wa uchumi nani ni mkali namba One hapa nchini...
2 Reactions
59 Replies
8K Views
Habar wanajamvi... Nina Certificate ya ICT..tatizo limekuja pale nilipoenda SAUT...Kuapply wakanambia cheti hakitambuliki....wanasema DATABASE ya NACTE...aitambui (AVN).. . Nikaamua kuchukua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vijana badala ya kuwa mitandaoni kufuatilia siasa na akina nasibu fuatilieni na mambo ya maana kuna mtu anajiita scholarships_masomo insta uwa anapost scholarships na nimeona ametangaza kuanzisha...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
wanajamvi ivi kama mtu hajasoma masomo ya sayansi anawaza kusoma kozi ya nursing assistance kama bios kafaulu? na ni vyuo gani msaada please natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wako
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Ukizungumzia elimu yetu moja kwa moja utagusa kuhusu kupanua wigo wa technology yetu watanzania katika kukuza soko la ajira na maendeleo katika jamii zetu za huku uswahilini. Ni vipi pale wasomi...
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Habari wanamember wenzangu, kwa siku za hivi karibuni katika sekta ya elimu kumekuwa na utekelezaji wa agizo la wizara ya elimu/Tamisemi kama sikosei la kuhamisha baadhi ya walimu wa sekondari...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukiacha thl naomba njia ya kupata material ya a level ya shule zinazoongoza kama feza
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naombeni ushauri nimeacha chuo na nimeamua kurist mtihan wa kidato cha sita mwaka huu kwani nilikua nina uwezo mkubwa darasani ila form 6 sikua serious hata kidogo kwani form4 nilipata...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Jamani nina ndugu yangu anataka kujifunza maswala ya intelligensia na upelelezi na lengo lake kuu ni anataka kufungua kampuni inayo deal na maswala ya upepelezi. Ni chuo kipi kizuri kujifunza?
1 Reactions
21 Replies
9K Views
Kulingana na mazingira yalivyo,somo hili ni mhimu, maana hata viwanda vinategemea kilimo, na sehemu kubwa ya wakulima wa Tanzania,ni std 7,,hivyo kwa kizazi cha karne hii,somo hili ni mhimu...
1 Reactions
0 Replies
742 Views
Nawasalimia ndugu zanguni,mm nina mdogo wangu ambae nimeamza kumsomesha akiwa darasa la tatu mpaka la saba akafaulu nikampeleka shule moja ya private hapo Dar shule ya Mbezi high.Sasa amemaliza...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu kwa anaye ifahamu Njombe high school yaani; Kitaaluma ikoje Mazingira ni rafiki kwa wanafunzi kujisomea? Ina toa na kufundisha tahasusi(combination) zipi? Ina walimu bora? na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habarini za kazi wakuu kama kichwa kinavyosema Nina ndugu yangu ambaye mwaka Jana ali apply teaching college akachaguliwa kulingana na hali ya kiuchumi kubana akahairisha kwenda sasa mwaka huu...
0 Reactions
8 Replies
962 Views
Wanabodi., Kama Kuna yeyote anafahamu Shule yenye kupokea MWANAFUNZI wa kuhamia kidato cha tatu anisaidie MAWASILIANO ya hiyo Shule ili ahamie immediately. Asante sana
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom