Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu kwema? Nataka kufanya MBA kwa distance learning kutoka vyuo vya nje ya nchi hasa napendelea vyuo kutoka nchi za uingereza,marekani na south Africa. Naomba kufahamishwa vyuo husika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna jamaa huwa wanadai kuwa CPA inabana vibaya na vijana wanalia,wakati MBA mambo ni laini kabisa.Binafsi sina hoja maana ninavyofahamu moja ni professional na nyingine ni academics zaidi.
0 Reactions
49 Replies
16K Views
Leo katika Historia... Siku ya tarehe kama ya leo mnamo mwaka 1965 Ni siku aliyeuawa mwanaharakati Mashuhuri duniani wa kupigania haki za watu weusi(akina sisi).. Malcolm X, kwa kupigwa risasi...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za muda huu. Je naweza kujiunga na chuo kingine katika kozi ya Diploma In Computer science kwa kutumia Score Sheet za kila semester niliyopata katika chuo kingine? Kikubwa ninachohitaji...
0 Reactions
1 Replies
835 Views
habari zenu wakuu.. .. poleni kwa mihangaiko yenu ya hapa na pale, pia napenda kuwapa pole wale wenzangu wooote waliokosa mikopo! wakuu, naomba kufahamu ni vyuo gani vizuri kwa mkoa wa dar es...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
I Yujinah an applicant student for MSc at University of Antwerp in Belgium. Here I'm seeking for your help b'coz kuna vitu vichache vinanichanganya hasa kuhusu legalisation ya documents zng ili...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
mimi nimemaliza kidato cha nne mwaka 2014 na matokeo yangu ni kama ifuatavyo 1. Civics - E 2. History - E 3. Geography - D 4. kiswahili - D 5. English - D 6. Biology - E 7. Mathematics - F 8...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kwa yeyote anaejua, Naomba msaada wa kufahamu vyuo vya private vinachukua hadi GPA ya ngapi kwa wale wenye PASS ? Maana yake ni kwamba. GPA ya mwisho kuchkuliwa kwa vyuo vya private na ngapi ?
0 Reactions
19 Replies
35K Views
Shule za watoto wenye mahitaji maalum Tanzania ni nyingi, ila zina uhaba mkubwa wa waalimu wabobezi. Zifuatazo ni faida za kuwa mwalimu wa special needs education:- 1. Ajira niyakufikia, ie zipo...
1 Reactions
4 Replies
11K Views
=========== Fuatilia zaidi hapa: =>Africa | Ranking Web of Universities
0 Reactions
116 Replies
15K Views
Habari wanataaluma! Nilikuwa najaribu kulinganisha jinsi Sekta nyingine zinavyotoa huduma na jinsi sekta ya elimu inavyotoa huduma. Ukiangalia utaona walimu ambao ndio wadau wakubwa katika utoaji...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Yani chuo kama advance bana, yaani msuli kama upo skuli jamani kah. Tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....
11 Reactions
122 Replies
12K Views
Inasikitisha na inauma sana serikali (TCU na NACTE) kupeleka wanafunzi kusoma Pharmacy na medical lab ilihali wakijua kuwa chuo hakijatimiza vigezo na hakijasajiliwa na Pharmacy Council...
1 Reactions
38 Replies
18K Views
habarini wakubwa kwa wadogo, nilikua naomba mwenye softcopy za notes na past papers za DEVELOPMENT STUDIES 1 na LINEAR ALGEBRA 1, m nipo 1st year apo udsm, msaada wakuu, ahsanteni.
0 Reactions
62 Replies
11K Views
Wadau wa elimu poleni na majukumu. Hivi imeshawahi kutokea shule nyingine wanafunzi wamemaliza kidato cha nne, matokeo yametoka halafu wazazi wanaitwa kwenye kikao cha wazazi na wanafunzi...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Direct kwenye somo tajwa. Hivi matokeo tajwa yameshatoka? Kama tayari basi mwenye nayo aweke link apa au ayaupload hapa. Kwenye ukurasa wao hamna kitu.
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Habari za jioni wanajamii Nimeona niiweke hapa jamvini kuhusu bodi ya elimu ya juu kuwabambikia watu madeni, utakuta mtu hata hajasoma chuo kikuu chochote na pia ni darasa la saba lakini from no...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau kwa aliyesoma CBG A level na akafaul vzur anaweza kwenda kusomea Medical lab
0 Reactions
2 Replies
4K Views
NYAMA,NYAMA- TUIFAHAMU KWA UFUPI Habari ndugu, pole na majukumu na mshukuru MUNGU kuiona siku na mwaka huu pia. naomba kwa ufupi nieleze machache juu ya nyama kama mboga, faida kadhalika na...
4 Reactions
24 Replies
9K Views
Natafuta tuition ya PCB iliyopo musoma
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom