Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari Wana jamvi , hv juz nilileta uzi umu kuhusu mdogo wangu anaetaka kurisit nashukuru kuna walionishauli point sana, leo nimekuja kuuliza kama kuna mtu anapajua morogoro , maeneo ya nane nane...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Mdogo wangu kamaliza kidato cha nne 2017 na kapata Div I 14, masomo yoote kapata wastani "B" Natafuta PRIVATE SCHOOLS atakayoweza ku-soma PCB iliyoko mkoa wa Mwanza Tafadhali naombeni msaada wenu JF
1 Reactions
2 Replies
888 Views
Kama ilivyo ada ya wana jamiiforum kupeana ushauri na kuelekezana pamoja na kushare idea. Naombeni wakuu mseme chochote cha msingi aidha madhaifu ya hicho chuo au ubora wake kitaluuma asanteni sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza, kuna uhusiano wowote kati ya Radi na Rangi ya kitu mf nguo, nyumba n.k? Maana tangu nipo mdogo huwa nasikia radi huwa inapiga vitu vyenye rangi nyekundu, na hapa...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari, Kuna rafiki yangu niliemaliza naye kidato cha nne mwaka jana na matokeo yake ni M 27 IV CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' LIT ENG - 'F' BIO - 'D' B/MATH - 'F' Sasa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wangu habari zenu? Naomba msaada je mtu akitaka kwenda kusomea uhasibu lazima awe amesoma masomo ya sayansi au hata ya sanaa anaruhusiwa?
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu. Niko Korogwe Tanga kikazi, nina idea ya kupata pesa somewhere. Kwa mwalimu anayekaa Korogwe aje pm tuyajenge. Sifa 1. Awe vizuri kufundisha Hisabati na Physics (o level) 2. Awe...
0 Reactions
4 Replies
907 Views
Habari wakuu wote humu.? Nimatumaini yangu nyote ni wazima na mnaendelea kupambana na hali zetu hususani katika kipindi hiki cha awamu yatano. Katika kuhakikisha Maisha yanaendelea kwa kutanua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu Nina Mdogo wangu anataka afanye project yupo form4 Research ya Geography Topic Environmental Pollution Sub-Topic LAND/SOIL POLLUTION Anataka Aende Kwenye Kiwanda Cha Ngozi Wakuu Msaada Ni...
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Habari wanaJF, Naomba ushauri wenu kwa wanaojua kuhusu taaluma ya Banking. Ningependa kujua vitengo vyake na duties. Asanteni.
1 Reactions
41 Replies
10K Views
Habari yenu wanajamvi. Nimekuja humu kuomba msaada wa kujua Vigezo vya kuregister cpa foundation level ni vipi na ina cost shilingi ngapi?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika gazeti la Mwananchi la 22/02/2018 nilisoma makala inayohusu mkuu wa mkoa wa Dodoma kukabidhi bendera nyeusi kwa wilaya pamoja na shule ambazo zimefanya vibaya katika mitihani ya Sekondari...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Serikali badala ya kushusha walimu kutoka sekondari kwenda msingi "permanently " na bado humalizi tatizo la idadi ya walimu msingi basi kumbe mngeamua tu kuwa walimu wa sekondari wote kwenye mkoa...
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Habari zenu wakuu, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ninayesomea taaluma ya fedha (Bcom. Finance). Napenda kuendelea na Masters' Degree mara tu nitakapomaliza...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Wadau, nimehamia hivi karibuni Buyuni Italiano kama unaenda Chanika. Namtafutia mwanangu shule, ili mwakani aanze darasa la kwanza, shule nataka ya taasisi za kidini au watu binafsi, na iwe na...
0 Reactions
13 Replies
12K Views
Habari bandugu, First born wangu amemaliza kidato cha nne na amepata div. II ya point 20. Ni mvulana na anataka comb. ya EGM. Najua anaweza kupata shule ya Serikali, lakini natafuta ya private...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Huu sasa ni uonevu uliovuka mipaka. Mm ni mwl wa art, nimehamishiwa shule ya msingi ndani ya kata. Lakini cha kushangaza mwl mwingine wa art kama mm leo ameripot shule niliyohamishwa mm tena...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wanajamvi... Naomba mnisaidie chuo kizuri kilichopo hapa Tanzania au hata nchi jirani kinachofundisha fani ya MITINDO NA UBUNIFU. Ahsante
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wana bodi Naomba kujuzwa kwa waliobahatika kupata skolaship nchi za asia hasa KOREA na CHINA, kwa level ya mastars vip kiasi kidogo unachopewa unaweza uka-save kdg? na kwa wastani ni sh...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mheshimiwa Profess Ndalichako, Unafahamu kuwa kuna watu wako Sekta binafsi ila wanatumia vyeti vya watu waliopo Serikalini? Je, unafahamu kuwa wale madaktari, walimu na watendaji wengi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom