Wadau natumai wote muwazima!
Mi nataka kufanya LL.M naomba kwa mwenye Links za scholarships kwa distance learning kwa ajili ya Masters anisaidie tafadhali.
Mambo VP?
Mimi ni muhitimu wa form4 2017 namshukuru mungu nimefaulu mtihani wa taifa na nimepata division 2.18
Na huu ndio ufaulu wangu
English=A
Bio=B
Math=C
Geo=C
Ksw=C
Civ=c
Phy=C
Chem=C...
Habari wadau wa JF,
Leo tena Benki ya Dunia kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wanakutana kwenye ukumbi Council Chamber hapa UDSM kwa ajili ya uzinduzi wa ripoti ya utafiti...
Habari za siku nzima wakuu, poleni na mihangaiko ya hapa na pale. Naombeni kufahamishwa chuo chenye intake ya mwezi wa nne kwa kozi ya diploma in clinical medicine.
Natanguliza shukrani
Ingia www.nacte.go.tz uweze kuapply Deadline Tar 01/10/2017
Wahi mapema.
=======
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUONGEZWA KWA MUDA WA MAOMBI KWA AJILI YA UHAKIKI WA TUZO MBALIMBALI KWA WALE...
Kwa tetesi au uhalisia kwa mnavyojua, ni lini NACTE watafungua dirisha la udahili kwa mwaka wa masomo 2017/2018.
Tumekaa mitaani, hatuna la kufanya tunawasubiri NACTE. Kisha naona mwaka huu...
Habari wakuu.
Mimi ni mmoja wa wanaosubiria kufanya maombi ya kujiunga na elimu ya juu(vyuo vikuu),nimekuwa nikitembelea tovuti(website) yao Mara kwa Mara kuona kama kuna updates zozote juu ya...
Excellent Training Center ni miongoni mwa vituo bora kabisa vinavyofanya vizuri kwa wanafunzi wa QT na Resitters, tunaendelea na usajili wa QT na Resitters mwaka 2018, waliosoma kwetu wamefaulu na...
Salaam Wakuu,
Naomba msaada kutoka kwa wataalamu wa uchumi na biashara (mainly), au mtu yeyote mwenye uelewa katika maswali yanayonisumbua kama ifuatavyo;
1. Kwanini kwenye electronic marketing...
Habari Wakuu
Kwanza nikubali mimi ni mgeni katika JF na nimefurahi kwani hii forum ina elimisha kuliko mtandao mwingine wa kijamii na pia kuna Members wapo tayari kuelimisha; huu ndo uTanzania...
TAHLISO nimeona kauli yenu ila napenda kujibu hivi.
TSNP ni non-profit organization, ni Civil society .sio tawi la serikali,wala sio tawi la chama cha siasa .kazi yetu kubwa ni kutetea haki na...
Wakuu habari za kazi.
Kuna short course ya data analysis and visualization inatolewa na UDSM kupitia college of ICT, Kijitonyama, Tanzania data Lab.
Ningependa kujua kama kuna mtu aliyewahi ku...
Kuendelea kusua sua kwa maendeleo na ufaulu katika masomo ya Hisabati na Sayansi kumewafanya wadau mbalimbali kushirikiana na kutafuta namna ambavyo wanaweza kushirikiana kuongeza ufaulu katika...
Habari zenu wakuu..
Nina ndugu yangu mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2014 alipata ufaulu wa MERIT
KWA MATOKEO HAYA:
CIVICS. D
HISTORY B
GEOGRAPHY B
KISWAHILI B
ENGLISH B+
PHYSICS C
CHEMISTRY B...
Habari wadau,Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha NNE ila amepata daraja la nne pointing 27,yaani Physics -F, Chmistry-F, Biology-D, Kisw-C, Histor-D, Engl-C, Math-F, Civics-F, Geog-D, sasa...
Habari zilizojiri jijini Dar es salaam ni kwamba Dr.Shayo ameanza rasmi kumwaga lecture kama mhadhiri mwandamizi wa uchumi, chuo kikuu huria cha tanzania. Hongera sana Dr.Shayo. Nchi inahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.