Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani mimi ndo naenda kuanza maisha advance sasa nasikiaga eti hivi vitabu ni hataree kama kuna mtu anacho aniuzie.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Samahan wana jukwaa la elimu..nimepitia website ya pharmacy council of Tanzania nikakuta list ya approved instution to offer pharmaceutical programs ni chache sana ukilinganisha na idadi ya...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Salamu zenu ndugu zangu Natumaini ni wazima kwa uwezo wa Mungu Ninachoitaji kutoka kwenu ni ushuri pia na Msaada mkubwa toka kwenu ninachoomba kutoka kwenu ni Kwanza kabisa mm nachukua mchepuo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama Uzi unavyojieleza naomba kwa mwenye kupata mitihani ya BAM iliyokwisha fanyika shule nyingine anisaidie
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nini maana ya step function
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nina swali la Physics hapa katika Mada ya Density Qn:A cup made of an alloy of gold and silver has 60cm³ and mass of 1050g.Find mass of gold in the cup.? Density of gold =19.3g/cm³ Density of...
1 Reactions
24 Replies
8K Views
Wapendwa wanajf naomben ushauri wenu ili niwahi kuzijua na kuzicover mapema topics zenye maswali common Kwenye Physics na Bios advance kwan naamin humu wapo watu mbalmbal wanaoweza kunisaidia
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wadau....naomba mnisaidie kwa wale wanaofahamu eneo ilipo hiyo shule ya Kasulu sekondari.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kama nikweli Tufanye nini kiwango cha elimu kiongezeke.
0 Reactions
7 Replies
918 Views
Qn. Social Development is a many sided process which cannot be adequately, explain by bourgeois theory and also by Marxian theory. Tafadhali nisaidieni in nitesa sana.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habarini za asubuhi, Naomba kufahamu kama aina hii ya elimu bado inapatikana nchini kwetu, inatolewa na vyuo vipi, kwa gharama ipi na ni elimu ya aina gani? (biashara,kilimo,ufugaji n.k). Kwa...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nikiwa mmoja wapo wa wanachuo ambao nitakuwa mhitimu panapo majaliwa miaka kadhaa kama mungu atanipa uhai mbeleni nadhani kuna ndoto ambayo wanachuo wote bado tunazo za kumaliza chuo na kupata...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna taarifa zimezagaa mitaani kuwa wapo walimu wa shule za msingi ambao walishindwa kujiendeleza na sasa serikali imeamua kuwatimua bila huruma.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
It costs you 1.06 MB.
8 Reactions
25 Replies
5K Views
Kama ni gharika, hili ni balaa! Tangu wiki iliyopita, kuna orodha ya watumishi wametumbuliwa kwa madai ya kutokidhi vigezo. Tetesi ni kuwa " uhakiki wa vyeti" bado unaendelea n.a. matokeo ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wana forum Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka Jana 2017 Nimefaulu kwa alama kama mnavyo ona hapo chini Civics D Geography C Kiswahili C English C Chemistry D Engineering Science...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Joachim Wangabo ametoa maelekezo kwa Wakuu wa Wilaya na Watendaji Wa Kata na Vijiji kuwakamata wazazi pale ambapo itagundulika watoto wao wana ujauzito na kuwafikisha...
0 Reactions
8 Replies
960 Views
Ukweli ni kwamba vyuo vikuu vingi havina walimu wa kutosha wenye sifa za kufundisha kozi za PhD, Masters na bachelor's degree. Vyuo vingi havina madarasa, maabara na sehemu za kufanyia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom