Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Vyuo Gani vya nje ya nchi vinavotoa course ya Health,Safety and Environments kupitia online?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wasaalaaaaam, Bwiru ni shule ya mchepuo wa ufundi, ipo wilaya ya Ilemela mkoa wa Mwanzaa. Ni baadhi ya mashairi yalipo kwenye wimbo wa Shule yetu pendwa, Nilifanikiwa pita Bwiru kwa miaka minne...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wana jamiiforums juzi nimesikia kuna kijana aliyeuawa Africa Kusini akiwa masomoni namtambua kwa jina la nyumbani Baraka Sungura kwa anaejua huyu jamaa alipatwa na nini hadi kupelekea mauti...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndg jf naombeni msaada nahitaji chuo kuzuri cha kusoma community health mwaka Jana nlituma maombi vyuo vya serikali sikubahatika kuchaguliwa sasa nimeamua kutafta hata vya private
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Naomba sababu za kitaalamu tafadhar
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Wakuu kwema Hili suala naomba liwafikie wenye mamlaka ,sisi watumishi wa umma tumekubali kuwa serikali haina pesa na haiwezi kutulipa pesa nyingi , tumeumia ,tumevumilia na sasa tumezoea ila...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Serikali imezuia WANAFUNZI kurudia darasa.Zamani ilikuwa iwapo mwanafunzi ameshindwa kuelewa masomo fulani kama vile Hesabu au Kiingereza mzazi/ WALIMU waliweza kumrudisha darasa mwanafunzi huyo...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana jf naomba mwenye namba ya mwalimu yeyote wa tumbi sekondari iliyopo kibaha anisaidie.Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naombeni mnisaidie shule za advance zinazochukua wanafunzi wanaojitahidi na kuwapeleka shule zao, na namna ya kuwasiliana nao na wanapopatikana
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kujua kama chuo cha uhasibu TIA kama kina foundation course ambyo hutolewa kwa ajili ya kumpa sifa mwanfunzi ambae hakuwa na sifa za kusoma ngazi ya cheti,kwa maana ya kuwa na pass nne...
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Habar wapendwa wana JF, natafuta chuo kizuri kinachosifika kwenye kutoa mafunzo ya nursing level ya certificate kilichopo Dar Es Salaam naombeni mnitajie .
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanafunzi wa The Law School of Tanzania wanatakiwa kuingia katika chumba cha mtihani na kitabu kilichotungwa na walimu wao. Kitabu hiki kinauzwa shilingi 45 elfu.Kwa hali ya uchumi ilivyo hivi...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Kwema ??? Nauliza mtu anaweza kuresit somo moja form 6 lets say Pure Maths.???
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina dogo wangu kamaliza mwaka jana ana 4 ya 30 ana bios C-chemisty D geog D pamoja na kiswahili ana D. Je anaweza kupata chuo cha serikali ..anataka kusoma pharmacy
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Usihangaike..!!!!! Kama unahitaji kufaulu Masomo ya jioni katika CERTIFICATE na DIPLOMA katika NURSERY TEACHING, EARLY CHILDHOOD EDUCATION na PRIMARY EDUCATION. Waalimu ni professional katika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salamu wapendwa wana jf Naomba kuweka wazi kabisa katika hili sipo kwa maslai ya ccm chama tawala au ukawa/chadema kwa wapinzani naomba nisimame kama mtanzania Siku chache baada ya Mh. Rais wa...
18 Reactions
100 Replies
15K Views
Naombeni msaada kwa anayejua qualification za kupangiwa shule za vipaji coz nina one ya 14 na ukichek hapa mtaani kuna jamaa alipata one ya 17 na akapangiwa Tabora boys
2 Reactions
39 Replies
10K Views
Back
Top Bottom