Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mwanafunzi wa chuo kikuu cha serikali "kujiteka mwenyewe" inamaanisha nini?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida jana Mfanyabiashara mmoja mkubwa tu wa Mkoa wa Mtwara na ambaye pia ana Kampuni yake kubwa hapa nchini alisababisha Ukumbi mzima wa IKULU kupata ' mshtuko ' mara...
9 Reactions
45 Replies
3K Views
. .. Asalam aleikum, naomba tujuzane hapa kuhusu taasis zitoazo scholarship za uarabuni,na hata kwa kushare magroup ya watsap pia
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu? Nafikiri lingekuwa jambo jema sana kama, final examinations kuanzia darasa la nne, saba na kidato cha pili, nne, sita hadi university examinations wawe wanarudisha kama feedback kwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
ELIMUKOMBOZI 1.0 Utangulizi Elimu ni suala la jamii ambalo mipango na taratibu zake zinahitaji kushirikisha wadau wote katika jamii. Madhumuni ya Elimu kwa ujumla ni kuifanya dunia kuwa mahali...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za Alasiri wana JamiiForums Nilishawah kuwauliza humu watu wengi kuhusu shida yangu lakini wakanipuuzia na ni wachache sana walionipa maoni. Suala lililokuwa ninalisumbua ni hili. JE ni...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Jamani naombeni anayejua kwanini NACTE wanatucheleweshea vyeti na transcript.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Oops!something went wrong!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi UDSM hakuna course za diploma,mbona kwenye ile online application system yao hakuna mahala pa diploma kutuma application za engineering,kuna nini hasa wajuzi nisaidieni.
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Jamani naombeni msaada kuhusu vyuo vya binafsi vya ualimu vinavyotoa stashahada ya ualimu sekondari-elimu ya michezo, kwa yeyote anaefahamu baadhi ya vyuo hivyo nijuzeniiiiiiiiiii
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari! Nauliza tuu jamani je, inawezekana mwalimu akafanya kazi nyingine tofauti na ya ualim? Mfano utendaji wa kijiji, kata au hata ustawi wa jamii? Na vipi anaweza kuomba ajira kama hizo na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwaka Jana nilichaguliwa nikakosa ada VP mwaka huu watanichagua?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani mnazikumbuka enzi zile za miaka ya 90, Umiseta ndio ilikuwa sehemu ya kupatia wachimba, hasa sisi watoto wa geti kali pale Loleza. Iyunga zao ilikuwa ni fujo tu, kutongoza walikuwa hawawezi.
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Wakuu heshima kwenu! Kuna waalimu kadhaa wamesi mamishwa kazi kutokana na TUHUMA za/ya;- 1.KUTEMBEA NA WANAFUNZI (NGONO), 2.KUWAPA WANAFUNZI SIMU ILI KUONGEA NA WAKWAO, 3.UTORO KAZINI (KUCHELEWA...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Waalimu wa shule za sekondari na msingi 45 wameajiriwa
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Jamani kuna Watu Mashuleni na Vyuo Vikuu wanajua kupiga chabo ( Kuibia ) hadi unakuta muda mwingine Mtu unafanya Mtihani na unabakia tu ' Kucheka '. Unakuta Mtu ana Jicho Kubwa tu lakini pale...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
TANGAZO TANGAZO Uongozi wa serikali ya wanafunzi COBESO unapenda kuwaarifu uma wa wana CBE kuwa LEO tarehe 16/03/2018 siku ya Ijumaa tutakuwa na ugeni mkubwa sana hapa chuoni kwetu wa watu hawa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
salaam kwenu! kozi tajwa hapo juu inafundishwa kwa mda gani? Ada yake ni sh ngapi? Asanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom