Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Leo hii waziri wa elimu anatarajiwa kutoa matokeo ya darasa la saba, watakaopata data waturushie
0 Reactions
16 Replies
187K Views
Walimu wa special needs njooni tubadilishane mawazo kuhusu career yetu Je ajira za special needs zinapatikana ? Ni changamoto gani za career hii
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amesema uamuzi wa Serikali kuwahamisha baadhi ya Walimu wa shule za Sekondari wanaofundisha masomo ya sanaa...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu, Kabla ya yote ningependa kutoa rai kwamba uzi huu ni maalum kwaajili ya kujenga hoja na kujadili kuhusu tofauti katika performance ya shule hizi na si kuleta hoja za...
3 Reactions
45 Replies
6K Views
Salam wapendwa katika Naomba kujuzwa kutoka kwenu Nimemaliza kidato cha 4 mwaka Jana matokeo yakawa kama ifatavyo Phys -C Chemistry-C Biology-C Geography-C Civics-D Literature-D B/math-F...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
I say this because intelligence and education are often used interchangeably. Today, many believe education is an accurate result and reflection of ones IQ. However, I strongly believe two things...
1 Reactions
7 Replies
816 Views
UHAMISHO WA WATUMISHI MSM Februari 2018 05-02-2018. Tangazo Umma. Tangazo kwa Walimu wote waliomba kuhamia Mkoa wa Dar es Salaam Orodha ya Majina ya Uhamisho wa Watumishi wa MSM Januari 2018...
0 Reactions
25 Replies
38K Views
Habari, tumeanza program mpya ya Nursery Teaching course, sifa muhimu ni mwambaji awe amehitimu kidato cha nne na kufaulu kwa D tatu ikiwemo English language. "learning for life" Call us today...
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Habari zenu jf! Mimi ni mhitimu wa chuo nimesoma business administration je ni sehem gani nzuri naweza fanya field kwa mkoa wa tabora?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Swali la msingi nyie mabingwa wa hizo namba mnzitumiaji katika maisha ya kawaida...?
1 Reactions
82 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu.. Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu,kwa ufupi Mimi in kijana niliyefanikiwa kuonja ladha ya elimu ya chuo.Nimesoma chuo Fulani maarufu hapa nchini course ya...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kama nilivyoeleza apo juu.... mimi ni mmoja kati ya tuliochaguliwa second round ya multiple selection na kucomfirm IFM lakini mpaka leo sijapata admission namba na Leo nimeona new news...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Chakula cha akili (Mental food) Lesson 1. Karibu kwenye darasa ambalo mwalimu ni UBONGO (brain) na mwanafunzi ni mimi na wewe, darasa hili litakuwa na somo KUU moja (One main subject of study)...
27 Reactions
249 Replies
40K Views
Wanafunzi wamehitimu mwezi wa kumi mwaka jana hadi sasa matokeo bado hayajatoka. Tatizo ni nini? Mtayatoa lini hayo matokeo? Kwa nini mnachelewesha matokeo kiasi hicho hadi wanafunzi wanakataa...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wadau wa JF, Leo nimefanikiwa kununua scientific calculator "original" kwa vigezo mlivyonipa humu, Nimeinunua "Mnazi mmoja" kwa duka la muhindi na akasema kama italeta shida niirudishe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada. Hii Mudio Islamic Primary School ni shule ya bweni ama kutwa? Pia naombeni mawasiliano ya simu ya shule hii. Asanteni sana!
0 Reactions
3 Replies
4K Views
PUBLIC NOTICE FOR MARCH/APRIL, 2018 ADMISSION CYCLE FOR ACADEMIC YEAR 2018/2019 This is to kindly inform that, the Ministry of Education, Science and Technology via its letter with Ref. No...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Habari, Kwa anayehitaji mitihani ya advanced mathematics na advanced physics kindly DM me mana ipo tuu hapa home hamna mtumiaji....
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama Mwananchi wa kawaida lazima nipige kelele kwa nguvu kabisa umma usikie, kile chuo kinaendeshwa kiujanja ujanja hakuna utaratitibu unaoeleweka. Wanafunzi wanateseka, uongozi unapishana...
1 Reactions
78 Replies
11K Views
Wakuu Kwa wale wazoefu naomba ufafanuzi wa nani anahusika kujaza kozwek za research proposal. Na wanatumia vigezo gani na vip alama za final na coursework inawezekana ukatofautiana? Au inakua...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom