Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ingawa mikopo ya elimu inatozwa riba ndogo lakini marejesho yake ni 15% ya mshahara kwa mwezi pamoja na kwamba madeni haya ni pesa ambazo zilikopwa bila kuwekezwa kwenye biashara au miradi yenye...
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari wakuu.. Mimi nilihitimu Kidato cha NNE 2013 nikapta history B..Kiswahili C English D,,Civics D,,Geography D.Math F Bio F. Katika kozi ya Sheria,,Saikolojia na Diplomasia IPI ambayo ni...
0 Reactions
4 Replies
638 Views
Wanajukwaa bila ya kumung'unya maneno, tafiti yangu inaakisi kwamba wabongo waliojifunza French hapa nilipo wapo vzr sana ukilinganisha na mataifa mingine. Ila chakushangaza hawa jamaa ambao...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
t paper za uchumi 2016 na 2017 anisaidie
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna nafasi kwa waliokata tamaaa baada ya kupata matokeo tofauti na malengo yao. Ni nafasi ya ufundishaji Olevel kwa aliyesoma PCM/EGM/PGM. Usikae bure kijana.ni PM nikuunganishe na mwitaji.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, Heri ya Pasaka, pia poleni na majukumu na mihangaiko ya hapa na pale. Nina jamaa yangu anasoma SUA jina, Mahaja Kusekwa nimesoma nae A Level, alikosa mkopo ila muhula wa kwanza...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za wakti huu; Kuna mtu yuko mbioni kurudi chuoni akiwa na umri wa zaidi ya miaka 30 na mume pamoja na watoto.Anaenda kuanza na diploma na angependa kufahamu kama kuna watu ambao wako...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu.Hivi karibuni nimegundua nina uwezo(sijui tuseme kipaji) cha kuandika makala. Ninaandika makala za aina mbalimbali,zikiwemo za elimu,uongozi bora,biashara na hata michezo. Hivyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Maelekezo kwa mwenye uelewa..suala la kujaza upya selform kwa wanafunzi waliofaulu kidato cha nne kupitia mtandao likoje?
0 Reactions
1 Replies
6K Views
~je,wadau napenda kuuliza,hivi ni ukweli kwamba huu msemo ambao umetawala kwamba,kuna urafiki ambao sio wa lazima vyuoni kwamba unapata marafiki,lakini baada ya mda wanayeyuka hivi ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Njoo kahama msalala nije iringa,njombe,mufindi na mbeya idara sec
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada jinsi ya kujiunga na chuo cha ubaharia (dmi )kozi zake kina anzia pesa kiasi gani
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habarini ndugu zangu mwenye vitabu hivi na vingine vya chands ninashida navyo ndugu zangu. Pdf files ndugu zangu mnisaidie Asanteni nashukuru.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Hamjambo waungwana ... Kila siku kilio ni kile kile kuhusu elimu kufanyiwa mabadiliko kisera. Kwa maoni yangu ni kwamba hayo mabadiliko tayari yalishafanyika ila wananchi ndo hawajajua. a)...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimemaliza form 6 2015 kwa faulu mzuri tu kwenda chuo. Sema wazazi wangu wakanishauri nisiende kusoma hiyo kozi ya banking and finance sio nzuri katika kuomba transfer wakanichagulia kozi nyingine...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Lengo la kukutana hapa ni kujadili changamoto za program hii,fursa za ajira na namna ya kuweza kusaidiana ,your welcome
3 Reactions
8 Replies
4K Views
pliz naomba msaada wanu wana jamii forum! nitajie shule na eneo ambalo mtu akiwa anafundisha hiyo shule anaweza akawa anaishi sehemu gani au mtaani gani!ili kupata huduma za kijamiii,
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari ya wakati huu. Kuna huu utaratibu wa DIT wa kuretake somo kwa wale watu wa diploma.Kuretake somo kunatokea endapo utashindwa kufikisha coursework/course assessment(CA) ya somo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
To all people who want to join with high education for undergraduate and postgraduate degrees in Tanzania and in other African countries. I am hereby bringing to you the lists of top universities...
0 Reactions
75 Replies
10K Views
Hello guys, HIVI MME-NOTICE HII? Kwa miaka ya zamani ilikuwa ni jambo lililozoeleka kuwa boys ndo hushika nafasi ya kwanza kitaaluma, aidha ki-darasa, kimkoa, au kitaifa linapokuja swala la...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom