Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Leo tar 22may 2017 katibu Mkuu wa wizara ya Maji yupo ktk chuo pekee EA knachotoa course zote zinazohusu Maji,Najua atakua na mengi ya kuzungumza na wanachuo pia na wafanyakazi wa Maji ashafka kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu. Labda niende straight: Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA. Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa...
4 Reactions
61 Replies
11K Views
Habari za mida jamani,naomba msaada wa orodha ya kozi za masuala ya uhasibu na fedha kwa ngazi ya degree,ukiweka na vyuo zinakopatikana itapendeza zaidi,ahsante wakuu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Apply to be part of the AMEE Conference and the Student Task Force 2018
0 Reactions
0 Replies
640 Views
Naomba kujuzwa wakuu, ni chuo gani kinachotoa kozi ya graphics design na quality zao ikiwa na being zao kama utakua unafahamu kwa hapa Tanzania?
0 Reactions
29 Replies
23K Views
1. Elimu Bora ya Uraia. Hapa Somo lote la Uraia/Civics lifumuliwe na watoto waanze kujifunza haki zao za kikatiba tangu ngazi za chini. 2. Katiba Ya Wananchi. Hii ni katiba itakayojumuisha zaidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za humu wanajamii,ninakusudia kuchapisha kitabu kidogo cha kurasa kuanzia 20-25.Sina uzoefu na masuala ya uchapaji hivyo ninaomba ushauri kuhusu gharama,na kampuni za uchapaji kutoka kwa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Naombeni msaada kwa hili kwa wenye uelewa nalo,Mimi ninasoma accounting sijui chochote kuhusu computer program na coding. Nikitaka kujifunza hivo vitu nianzie wapi wadau.
1 Reactions
0 Replies
451 Views
Na. Nyacki Jr [emoji871] Kabla mwandishi hajaanza kuandika Chapters ktk utambulisho chini kabisa ya aya kuu aliandika kitu alicho kiita "ONE SIZE DOESN'T FIT ALL" kwa akili ya kawaida kabisa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyoieleza, nahitaji msaada wa jinsi ya kupanga matokeo ya kidato cha nne hususani kipengere cha kuzipanga "DIVISIONS" Nawasilisha
0 Reactions
12 Replies
7K Views
habari wana JF mimi ni mwanachuo, mzumbe university mwaka wa kwanza taking BAF PS nilifanikiwa kupata mkopo, naomben ushauri hivi boom nikisave naweza nikafanyia biashara pasipo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI WAKALA WA VYUO VYA MAFUNZO YA MIFUGO - LITA TANGAZO LA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA STASHAHADA NA ASTASHAHADA...
0 Reactions
6 Replies
55K Views
Kijana, Usipende kufeli kizembe zembe, kijinga jinga, kibwege bwege, kifala fala fulani hivi. Majira haya ya kiangazi utapeleka wapi div 3, 4 ama 0?. Ukianza maisha ya kujitegemea ndio utajua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf. Leo nimeamua kulileta hili suala mbele yenu. Ni kuhusu matokeo ya rufaa kwa ujumla bila kujali ni ya mwaka gani, Matokeo ya rufaa karibu ya miaka yote sijawahi ona mtu aliye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za jumamosi wanajamii forum Nilikuwa naomba kwa yeyote mwenye softcopy ya kitabu CONTEMPORARY ENGLISH GRAMMAR kimeandikwa na JAYANTHI DAKSHINA MURTHY au mwenye kufahamu site nzuri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wale applicants tuliowahi kuwanyaka TCU tumekuwa na bahati hakuna presha tena.Sasa nimetupwa pale UDSM nikasome Mining.Wale wenzangu 35 wa Mining Eng na wale wa vyuo vingine program ya Mining...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau wote ambao tuliobahatika kusomea hii special diploma katika vyuo vya serikali nchini mwaka 2014 hadi 2017 tukutane hapa tujadiliane kidogo
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wakuu,nina mdogo wangu anahitimu form six mwaka huu kwa combination ya CBG,tunaimani kuwa atafaulu,ni kozi gani anazoweza kusoma kwa ngazi ya chuo kwa masomo yake hayo? Ahsanteni
1 Reactions
23 Replies
37K Views
Kama kunae alieomba MOFCOM scholarship katika vile vyuo 26 vilvyoainishwa kwa mwaka wa masomo 2016/17 tupeane taarifa kwani kwa maelezo nikwamba matokeo yatatolewa mwezi huu wa August tuambieana...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini, Mwaka 2014 nilichaguliwa kujiunga na chuo fulani kwa ngazi ya Bachelor ya Science in Chemistry! na nikapewa mkopo nilifika chuo husika na kufanya admission, na boom la mwanzo nikapewa...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom