Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari za Leo ndg, ningependa kujua vyuo vizuri vya afya vinavyotoa cozi ya clinical officer vilivyopo mikoa ya mwanza,Dodoma au dar, pia ningependa kujulishwa na ada zake.
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Mimi ni graduate wa bachelor BED'S with ICT lakini bahati mbaya ni kuwa shule nyingi za kata ambako tunategemea kwa ajili ya tempo and part time teaching ,shule nyingi hazina computer . na private...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za jioni, 1. Je, inawezekana mtu kujiunga na Certificate In Electrical engineering akitokea VETA (NTA LEVEL 2)?, yaani aruke NTA level 3 2. Kama inawezekana, Je utaratibu mzima umekaa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Guys habari zenu, mm ni graduate wa computer science, pia ni specialist wa mambo ya network securitg. In short kat ya applications ambazo natamani kila kazi yangu niifanyie humo ni excel. Nikiri...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Matokeo ya NBAA..mpka leo hayajotoka...tatizo ni nini haswaa
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa Jhumpa Lahiri katika kitabu chake cha The Namesake anasema, “ Kusoma kitabu ni kitendo cha kusafiri bila kusogea kutoka pale ulipo”. Naye David Bowie msanii ajulikanaye kama msomaji...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi kwa bachelor yangu ya education, naweza kusoma post graduate ya kilimo?
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Naomba kujua sifa za kusomea social worker uwe umefaulu masomo gani?
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Nina vyeti viwili ili niwe na vigezo kwenda chuo cheti cha kwanza D D na cha pili D D.vigezo ni D nne
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari wakuu, kuna dogo ana F ya math's but kafaulu kwa wastani masomo mengine akiwa na C zote na B ya kiswahili tu sasa alijaza PCB na ndo anatarajia kusoma advance, je anaweza kuchaguliwa au...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa yeyote anaejua taratibu za kuomba vyuo vya ualimu wa msingi huwa ni mwezi wa ngapi? Msaada jamani
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habarii wanajamvi, Naomba msaada kwa ajili ya binti yetu aliye maliza masomo Mwaka ulio pita anawastani wa history D, geography D, kiswahili D, English D, biology D, civics D, math F Je kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimeangalia vyuo vya south Africa ni too expensive nataka Kuomba makerere university Uganda, Bachelor of Information and security system nimecheki mengi kwenye website yao ya chuo ila nahitaji...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba kuuliza safi za mtu aliyemaliza form six na kupata div 3 mwaka 2016 kujiunga na open university inakuwaje??
0 Reactions
3 Replies
649 Views
Please am a Form six liver in this year of 2017, am applying for applications of Advanced diploma programs, that you have introduced since May on your website, but when I fill my Form six details...
0 Reactions
7 Replies
948 Views
Naomba kupata ufafanuzi wa hili kwa wahusika wa mikopo ya elimu PSPF. Ninahitaji mkopo kwa maelezo yao wanakulipia moja kwa moja chuoni ni jambo zuri, wanasema riba ni 7. 5 %kwa mwaka ambayo ni...
0 Reactions
39 Replies
9K Views
Jamani mm naomba kufahamu utaratibu wa kufanya mtihani was PC six kama ulisoma egm na sasa unataka labda kusoma pgm je inawezekana kusajiliwa?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada wenu wakuu wengi tunalalamika kua pcm ndio ngumu lakini kwa nini wanaongoza sana hua wanatokea huku pcm
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Baada ya kutoka kwa walaka wa NACTE kwamba wanatakiwa kufanya mtihani wa form 6,juzi kati matokeo yao yalitoka,wengi wamefauru kwa division I na II, je wanaweza kutumia matokeo hayo kujiunga na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom