Habarini wana JF wenzangu...
Mimi ni mwalimu wa "Mathematics" ambae katika degree yangu ya kwanza nilispecialize katika Maths lakini pia nilikua na courses zingine kama Educational Psychology...
Wakuu, habari za majukumu.
Naombeni msaada wa maelekezo jinsi ya kujisajili NACTE na kufanya Application ya chuo kwa intake ya March/April. Nahitaji kuomba nafasi ya Diploma 2018/2019 kozi ya...
Salaam wadau, natafuta kitabu cha joel osteen , blessed in the darkness, wapi naweza kipata hiki kitabu. hata kwa msaada wa kunilete nilipo dar , mi mgeni kidogo. nitakutoa gharama zako. thanks...
Nina mtoto wa dada yangu anasoma HKL form five..anataka kujua vitabu gani vya kiswahili na language(literature) ambavyo ni virahisi akisoma akafaulu?? Nawasilisha
Wanajamvi habarini, mimi ni miongoni mwa walimu wapya walioajiriwa mwaka huu na serikali ya JK. Post yangu imepelekwa mkoa wa Mwanza wilaya ya Magu, tafadharini naomba kwa wale wenyeji wa eneo...
Mimi ni mwanafunzi ninayejisomea masomo binafsi kwa ajili ya maandalizi ya mtihani wa kidato cha sita.
Naomba mwalimu yeyote aliye tayari kunifundisha General Studies anitumie sms INBOX ili...
Msaada mwenye nayo, ama hata mwenye vitabu.
Recommendations zenu pia nitashukuru sana.
Mifano ya majengo ambayo ninahitaji requirements zake za design ni kama haya hapa chini.
Nimejaribu google...
Kila niki jaribu kutatufa B ya biologia ina ni shinda na ishia kupata C na D,na mitihani ni rahisi, kusoma na soma sana tu lakini sielewi tatizo ni nini na mtihani wa kuhitimu kidato cha sita una...
Wakuu Salaam.
Katika maadhimisho ya "Karume Day" Mkuu wa mkoa wa Arusha alipokuwa akitoa hotuba yake ktk uwanja wa Sheikh Amri Abeid, aligusia suala la ku-adopt mfumo wa kuwa na mtihani mmoja kwa...
Nina mtoto wangu wa kike,ana ndoto sana za kusoma Korea Kusini...Mwenye uelewa na uzoefu wa maisha ya Korea Kusini,anaweza kusaidia kujua maisha ya kule yapoje?Mfumo wao wa elimu je?Gharama ya...
Kwenda shule ni ile hali ya kuhudhuria kwenye kituo kinachojishughulisha na kutoa elimu. Watu wengi wameenda shule .. iwe ya msingi, upili, vyuo n.k. Ila ni wachache sana ten asana walioelimika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.