Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naweza pata wapi course ya TYPING kwa hapa Dar ? Ili niweze kujifunza TYPING
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nilikuwa Nahitaji kujua yafuatayo 1. Je, kuna uwezekano wa kusoma master pasipo kupitia degree ya kwanza katika ulimwengu wa sasa wa kielimu na kama ndio Je nivigezo gani ambavyo vinahusika...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Habarini? Nataka msaada wa link za vyuo vya nje ili niweze kupata online degree ya law or business au masters. Nipo kikazi mkoani na nafikiri ntakaa muda huku ,hivyo mwenye uwezo wa kunipa hata...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ugumu wa Maisha ni fundisho kwa waliozipata wakazichezea. PAMBANA NA HALI YAKO © Jackson94
0 Reactions
7 Replies
5K Views
HABARI ZENU WAKUU... Napenda Kuwauunganisha Form 4 wanaopenda kwenda chuo moja kwa moja, Katika Utambuzi Yakinifu wa kozi zilizo kwenye soko kwa karne hii. Aina ya kozi nzuri ya KUSOMA kutokana...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza,,,,,, Karibuni wanavyuo wote wa Tanzania tuweze kupeana updates na kubadilishana mawazo juu ya maswala mbali mbali..... Karibuni
1 Reactions
47 Replies
7K Views
Mimi ni kijana niliehitimu masomo yangu ya kidato cha nne mwaka 2016 namshukuru mungu nilifaulu nilipata div II ya points 21,nilifanikiwa kupangiwa PCM shule ya lugufu mkoani kigoma lakini wazazi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani ndugu zangu mm ni mwanafunzi ninaetarajia kwenda kusoma masomo ya clinical offecer ne ni mashirika yap ua wanaweza wakanisapoti juu ya ili ata kwa kukimu ada tu.[emoji122] [emoji122]
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Naombeni msaada, Natafuta shule inayofanya vizuri hasa matokeo ya A level hapa kwetu tz za serikali na watu binafsi
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ndugu zangu habari zenu mm ni kijana nliehitimu masomo ya kidato cha NNE 2016 naomba ufadhili ili niweze kusoma clinical medicine mwaka huu kutokana familia yangu kuwa duni Nitashindwa kumudu...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Naomba kujuzwa sehem kinapopatika hapo arusha na kuhusu course zinazopatikana kwenye hichi chuo na website yao ili niwezejua ada zao
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wamepata mwongozo mpya unao onyesha kwamba,watasoma ngazi ya cheti badala ya stashahada Hivyo watatakiwa kusoma kwa muda wa miaka 2 tu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wizara ya Elimu tunaomba muongozo kuna shule binafsi zinafukuza kwa kushindwa kulipa ada yote hata mtu akilipa robo tatu ya ada anayotakiwa kulipa wanafukuza wanafunzi Mfano Efatha seminary.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Amani iwe nanyi,naomba kufahamishwa shule za advance za private(boarding) zilizopo mkoa wa dar zenye ada isio zidi milioni 2,please msaada wenu waungwana.
0 Reactions
0 Replies
577 Views
Mimi nimemaliza kidato cha nne nataka niende chuo kusomea diploma ya clinical officer naombeni ushauri kuhusu ajira na mshahara uko vip kwa sasa. Thanks.
2 Reactions
42 Replies
7K Views
Chuo Kikuu cha Manchester kimetoa nafasi za masomo kwa wanafunzi kutoka nchi kadhaa za Afrika na Tanzania ikiwamo ============================================================ Dear all , The...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Imenibidi niamie chumba kingine baada ya kusikia kelele chumbani ninakolala.chumba ninacholala kina taa mijusi ile myeupe upenda taa ikila wadudu wanaouluka katika taa katika utafuji wao chakula...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Wakuu salaam, kwa yeyote mwenye vitabu ntakavyo violozesha hapa chini naviomba: 1. An Introduction to C++ and Numerical Methods 1st Edition by James M. Ortega Andrew S. Grimshaw (Author) 2...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
hellow jaman, naomben msaada wenu ni njia gan au ni utaratibu upi wanaoutumia nacte kufanya udaili wa wanaafunzi kwa mwaka wa masomo 2018/2019,kwa ngazi ya cheti na diploma?? Na pia lini mwisho...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Jaman naomba msaada anaefahamu chuo, taasisi ambayo wanaweza kutoa advanced training course competently ....anijuze Ikave kuanzia functions,macros, Visual basic applications n.k
0 Reactions
3 Replies
801 Views
Back
Top Bottom