Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wadau. Naomba niulize kuna taarifa zinazagaa vyuoni. Kwa wale waliomaliza form 4 mwaka 2015 na kujiunga na March intake 2016 hawataruhusiwa kuingia bachelor mwaka 2018/2019 .Naomba majibu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini wana JF, kuna questionnaire nimeandaa kuhusu afya na huduma zitolewazo kwenye afya ya magonjwa ya akili. Nisaidieni kujaza hii questionnaire, kwa kuclick kwenye link hiyo chini, ili...
1 Reactions
0 Replies
628 Views
Lyamungo inachukua pointi ngapi kwenye kombi ya PCB.na lazima uwe na division ngapi.ili waweze kukuchagua
0 Reactions
0 Replies
915 Views
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE KWENYE SHEREHE ZA UZINDUZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA, TAREHE 25 NOVEMBA, 2010 Mhe. Benjamin William...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Nilihitimu Form six mwaka 2014 katika shule ya ufundi IFUNDA ( IFUNDA TECHNICAL SECONDARY SCHOOL). Sasa kutokana na muda na ratiba kubana baada ya kuingia chuo, nilikuja kujua kuwa hiyo shule...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Download app ya thl na upate notes za o level na advance free wametoa ofa ya one month bure kutumia #Power to you
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Jisomee kozi mbalimbali kwa njia ya mtandao na upate cheti. Tembelea Home kisha angalia ukurasa wa Education
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Diploma gani naweza kwenda kusomea kwa upande wa health au engeniaring ikiwa Nina division 3 ya 23? Na nina C ya physics na biology. D ya maths na chemistry
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nisaidien jaman soko la ajira yake,, na inahusu nini hasa na vigezo kujiunga equivalent qualification. Asante
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hebu vuta picha, namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule ya msingi. Umepiga jaramba maili...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
nianze kwa swali dogo? Mwana fasihi ni nani? je ni kweli Mwanafasihi ni mtu wa kwanza kuumbwa na mwenyezi Mungu ili apate kuwatumia kuujuza ulimwengu? Nakumbuka nikiwa kidato cha tatu nilipata...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za majukumu wana jf. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni mnisaidie link ya kupakuwa dictionary yenye pronunciation (matamshi) ya AmE na BrE. Natanguliza shukrani zangu za dhati
0 Reactions
9 Replies
3K Views
PLEASE JAMAN NAOMBA KAMA HUNA CHA KUCOMENT UPITE KIMYA KIMYA MAANA HATEFUL COMMENTS ZITANIUMIZA. Wadau wa jf mimi ni kijana nnae malizia masomo yangu ya diploma miezi miwili ijayo, ninapenda...
0 Reactions
3 Replies
949 Views
Natafuta shule nzuri kwa ajili ya mtoto wa miaka mitatu...iwe day na yenye usafiri! Ahsante
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman naomben msaada kwa anaejua processes zote za Ku apply na lini naruhusiwa Ku apply pamoja na deadline ya Ku apply kwa mwaka 2018 anisaidie. Nataka kusoma diploma ya Clinical medicine kweny...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta watu waliosoma Ifunda Technical. Secondary school, tuongee mambo yetu kidogo, yani tukumbuke Lyandembela, Kaguo Vizibo, Per T, Kuuzoa, Serengeti, Mazengo hall, n.k na kadhalika
2 Reactions
43 Replies
10K Views
Shule za binafsi zilikuwa na utaratibu wa kuendeshwa kwa mihula mitatu yaani January - March; April /Masika wanakuwa likikizo; May -July; August / Vuli wanakuwa likizo, September - November...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Country: China Bachelor Taught in English : 1. Computer Science & Technology 2. Bio-Medical Science 3. International Trade and Economics 4. Tourism Management After Scholarship Need to Pay...
1 Reactions
0 Replies
734 Views
Mkuu wa mkoa wa simyu ,Mtaka kuanzisha shule kwa ajili ya wanafunzi wenye vipaji maalum ambayo itaitwa SIMIYU boys na SIMIYU girls,ambazo zitaungana na shule kama...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Enzi hizo kulikuwa na Mwl Mwangomile alikuwa akichapa balaaa. Mwaka 1986 pale Mbata pr school Mbeya kulikuwa na Mwl dada mmoja Peter naye alikua akichapa balaaa. Sema alikua na umbo na tako zuri...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom