Naomba msaada wenu.
Nina division 3 ya 23.nauliza itawezekana kuchaguliwa PCB kwa shule za serikali ikiwa Nina D ya chemistry na mathematics pia C ya geography na history.eti yawezekana?
Habari wanazuoni, mimi ni mmoja wa wadau wanaotamani sana kusoma nje (scholarship) ila shida ni kwamba kuna mtihani wa kiingereza kwaajili ya kiambatanisho cha certificate - maswali yangu ni...
Ndugu zang samahanini naitaj kufahamu course hipi bora kati ya flight operation au airport operation? Hipi ina urahisi wa ajira na hata kimaslai pia.... asante sana ndugu zangu
Naomba mawazo yenu wazee wa taarifa ni master degree gani naweza kusoma popote ambayo ina soko hapa nchini. Ni vyema ukanipa na wapi chuo kilipo.
Thanx in advance
Waliosoma bachelor of information technology
Naomba msaada maana nimechaguliwa NIT kwa kozi hiyo
Tatizo sijui inadili na nini pia soko la ajira kwa hiyo kozi maana najifikiria kubadil kozi
Habari wakuu..
Msaada kwa anayefahamu chuo cha nursing kinaitwa CHIMALA kipo MBEYA
kimesajiliwa na kinatambulika na serikali maana sina imani na vyuo hivi kuna mtu anataka kwenda kusoma huko...
Wakuu... salam kwenu. Kama kichwa cha habar kinavyonieleza kuna swali limekuwa changamoto kwetu..Natumain hapa JF litapata jibu... KARIBUNI
In a form 4 class there are boys and girls. The mean...
habari wadau,
naomba wale wenye ujuzi wa Economics waje hapa wanifafanulie maana ya Gross Domestic Product (GDP) interms of Purchasing Power Parity (PPP).
mie naelewa kuwa GDP (PPP) ina involve...
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo, ningependa kupata ufahamu kidogo kuhusu kujifunza kwa vitendo.
Nina ndugu yangu wa karibu ni mwanafunzi wa mwaka wa pili kutoka chuo kikuu Mzumbe...
Kwa kweli shule nyingine zinajitakia matokeo mabaya bure, hii shule ya sekondari ya Taqwa imeweka utaratibu wa kulipa karo kwa awamu mbili ya mwezi Januari na Julai wakati wa kufungua shule...
Na Asha Bani - Mwanahalisi
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imebaini ufisadi mkubwa katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Ualimu Mkwawa, uliotokana na kuwalipa...
Kama kitu hata mungu hatokusamehe ni kutumia ukweli kukandamiza maslahi ya mtu...Hii ni sawa ukamwambia mtu ile hela nimekuibia mimi ila kwa kuwa nilikuwa na matatizo...
Huwezi kuleta matatizo...
Bado vitabu vyenye matatizo vimeendelea kutumika shuleni huku vikiwa na makosa mengi mno. Vilipotolewa vitabu vya mwanzo na TIE vilikuwa na makosa mengi sana. Bunge liliwaambia waviondoe kwenye...
Prof. CASMIR MUSHANGORE LUBAGUMYA has echoed remarks made recently by Ex president BENJAMIN WILLIAM MKAPA who doubles as Chancellor of university of Dodoma. H.E MKAPA said, in March 2018, that...
Wadau wa forum hii heshima kwenu.
Naomba kujua kama Usajili wa vyuo umeanza rasmi kwa mwaka huu 2018/19 kwa NACTE ama labda kama kuna linki ya za vyuo mbali mbali ambavyo vimeanza tofauti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.