niende moja kwa moja kwenye lengo,je ni mahitaji gani ya msingi kabisa ambayo unatakiwa kuwa nayo ili kuanzisha maabara ya kisasa kwa ajili ya practicals za physics kwa olevo na advance!?
Naomba...
Habari za usiku wanaJF nina shida na duka lolote linalouza vitabu kwa hapa DSM, vitabu mf wa
The Davinci Code
Origin
Angels and Demons
Alchemist
48 Laws of Power
Mastery
How to influence People...
Habar zenu wadau.. Hv hiz mashine za efd znatolew bure kama nnavoskia au znanunuliwa..? Na kama znauzwa bei ya chini kabisa n shingapi na nini umuhimu wake katika ulipaji wa kodi..?
Habari Wakuu,
Huwa Kuna Swali Moja Linanisumbua Sana Akilini, Mtu Aliyesomea Course Ya Community Health Anaweza Kujiendeleza Kwenye Course Gan Ya Afya???
Nakama Hapo Ndo Itakuwa Mwisho Wake, Ajira...
Waheshimiwa habari za asubuhii hiii
Naomba kupata maarifa kuhusu masomo ya public health masters yenye changamoto katika usomaji.
Namatumain sio yote ila kuna baadhi ya masomo yenye ukakasi...
Mim ni muhitimu wa shahada ya ualimu mwaka 2017 ktk fani ya elimu BaED, sasa kutokana na changamoto za ajira nimewaza vitu vifuatavyo, Kusoma tena certificate ya fani nyingine.
Au
Kufanya...
Wanajukwaa samahani kwa usumbufu
Nilikuwa naomba msaada kwa anaeijua hii shule,,
kama kuna mwanafunzi anayesoma, au kuna mwalimu anaefundisha hii shule IGALULA SEC SCHOOL, ipoo Tabora, Uyui...
Habari wakuu,poleni na majukumu.
Naomba mwenye uelewa mzuri juu ya namna ya kujisajili ili kuwa mtahiniwa binafsi wa mtihani wa kidato cha 6.Nimehitimu kidato cha 4 mwaka 2010.
Pili,napendelea...
Heshima mbele wakuu, naomba kujuzwa kama hawa watu wa Open University (chuo kikuu huria) Kama wanatoa diploma ya Business Management. Nahitaji kusomea hiyo kozi lakini nina certificate ya General...
Community health twendeni Kenya, uganda na zambiat tukasome diploma ya community health ikiwezekana tuunge hadi degree, alafu turudi bongo kula maisha.
Nimefuatilia Kenya wanavyuo vizurii sana...
Nia ni kupeana ushauri na updates za koz hii kwani tumekuwa kma watt yatima tusokuwa na mber wala nyuma yaan mpka sasa najiuriza juu ya Chws sipat majib labda kuna anaefahamu juu ya koz hii job...
Mara ya kwanza kabisa, niliwahi sikia kauli ya namna hiyo kwa katibu wa wizara ya elimu mstaafu "Maimuna Tarishi " akisema kama umesoma private school hupati mkopo.
Kauli hii tuliipinga vikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.