Idadi ya watahiniwa waliomaliza form four mwaka Jana.ambao wamefaulu kuingia kidato cha tano mwaka 2018 ni wangapi? Naomba kusaidiwa idadi yao kwa ngazi za division walizopata
Wadau kwa wale waanga wa mikopo mwaka jana na wale wanaotarajia kuomba mwaka huu tukutane humu tupeane nasaa changamoto na hata mijadala yenye afya kuhusu masuala yote yanayohusu mikopo kwa mwaka...
Hii ni kwa lengo la kuondoa utata na kuwezesha sisi wazazi kujipanga .
Ni vema kufanya hivi ili wananchi wajionee wenyewe sheria iliyotungwa na bunge inataka nini kuwezesha watoto wetu kupata...
Wakuu habari za jioni. Nimesoma mwongozo wa utoaji mikopo ulioachiwa na bodi ya mikopo kwa vyuo vikuu nchini ila kuna sehemu nahisi sijaelewa.
Ni Sehemu ya kwanza, kipengele namba (vii)...
Za mda huu wanajopo.
Naomba msaada wenu kwanza nijue tofauti ya computer -science
-IT
-ICT
Na pia nijue ktk hizo ni kozi gari ni bora na itaniwezesha kucheza vyema na mitandao kisha naomba...
Habarini ndugu zangu, mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu, nimekwama ada kias cha laki mbili, nipo dar, naomba kwa yeyote anikopeshe kwa dhamana ya cheti changu cha Form 6.Nitamrudishia muda...
Wakuu, nimeingia chumba cha mtihani WA kitado cha sita kama PRIVATE CANDIDATE katika tahasusi ya HKL lakini sina lolote kichwani,
Sijawahi kusoma toka 2012.
NIFANYEJE.......?
Habari wana jamvi, mimi nina kadigrii ka ualimu elimu maalumu GPA nzuri.
"Specialized on geography and visually impaired "
Nasota nako mtaani, napiga piga tempo, wakati mwingine napiga bodaboda...
Kwa maana Wazungu hawana huo ujinga wanaweza kuandamana kupinga au kusapoti jambo fulani lkn kamwe siyo kugomea masomo, sasa huu mtindo aliuleta nani kwa maana ni kote TZ, Uganda na Kenya...
Wanafunzi wa form 6 wanatarajia kuanza mitihani yao ya taifa kuanzia juma tatu.Mungu awasaidie wapate kufanya vizuri
Vijana wangu wa Sengerema Boys msituangushe
Kiswahili Lugha yetu
Sote humu ndani ya hili _kundi sogozi_tunamiliki _simu tamba_. Tuweni makini kwani kutumia _sikanu_ zetu _mkondoni_ kunaweza wapa mwanya wezi wa mtandaoni kutuibia. Wezi...
Kuna andiko limeandaliwa na wadau linalochambua vituko (sio dosari bali ni janga) vilivyopo katika vitabu vinavyodaiwa kuboreshwa na TIE baada ya vile vya awali kuchomwa moto.
Dosari na vituko...
Habari wakuu,naamini mpo vzri na hzi harakati za duniani.Lengo kuomba kufaham ukitaka kusoma msters open universty gpa ya mwisho ni ngap hasa kama unataka kusoma public administration with education.
Naombeni mawazo yenu ya kitaalamu wakuu kuna dogo hapa alimaliza form four mwaka 2017 alifaulu akiwa na three ya point 24 sasa anahofia akipangiwa advance atapelekwa arts mawazo ya wadau wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.