Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kwa wataalamu wa lugha yetu hii ya kiswahili Hivi tunasema utakufa kwa njaa au utakufa na njaa? Kama kuna maneno mengine tuyawekeni hapa tudumishe lugha yetu.
0 Reactions
2 Replies
734 Views
Naomba mnisaidie wenyekujua Mimi nimesoma masuala ya procurement, nimepata elimu hiyo kwenye bodi ya wataharamu wa ugavi na ununuzi, psptb. Nimefikia level inayoitwa p3 . Natakakujua Kama kuna...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
District council is also composed by three members appointed by the Ministry for Local Government Authorities. One of them is (DED) District Executive Director mention others (two).
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana jamii, kwa mda mrefu nimekuwa na ndoto ya kujifunza mambo kadhaa kwenye courses za biashara kwa ngazi ya certificate/Diploma leval hivyo ninaomba kwa yoyote anaesoma au anaejua topic...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habar Zenu Wana Jf Naiman Mko Vyema Nitangulize Shkran Zangu Za Dhat Kwenu Wana Jf Mimi Ni Kijana Ambaye Nimezaliwa 02.01.1997 Nimemaliza Shule Ya Msingi Daras La Saba Mwaka 2013 Bahat Mbaya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani, au ni mimi tu? Maharage yalinichosha sana wakati nasoma, nashauri serikali itafute mbadala wa maharage, mfano dagaa, mbaazi ama dengu Nini maoni yako mdau wa elimu?
2 Reactions
72 Replies
7K Views
Habari ndugu zangu. Naomba anaefahamu wapi kuna shule ya serikali(Kidato cha kwanza hadi cha sita) ambayo ipo karibu kabisa na maeneo yafuatayo(karibu na barabara ya lami yenye daladala za moja...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
CV ya Goodluck Mlinga,
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Naomben kujua ipi facat nzuri Kwa wakati huu nchin kwetu TZ 1.Human resources and management 2.political science and public administration
0 Reactions
2 Replies
798 Views
Habaru zenu wadau, Nakijana hapa kamaliza Degree ya kwanza Sociology sasa kahitaji kwenda Masters nikamuliza Masters ipi akanitajia hiyo. Nikasema tapitia JF niulizie hii wadau wanidadavulie...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa anae hitaji ufundi wa simu anione soon class itaanza smartphone na zile za Batan ppt ulipo class itakufika na ufundi wa simu una pande mbili hardware na software Hardware ni repair ya divice...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Swala la bodi ya mikopo kuendelea kubadilisha vigezo kila mwaka tena visivyo na tija ni, muendelezo wa kukwepa majukumu ya kusaidia wanafunzi kutimiza ndoto zao za kupata elimu. Hii sio bahati...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wapendwa hivi kama ulimaliza form six miaka ya nyuma mfano mwaka 2013 ukiomba mkopo huwezi kupewa kabisa? Msaada please
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana jf kwa anayefahamu hichi chuo wanafanyaje Udahili na wanaanza mwezi wangapi intake mpya kwa programme ya diploma in pharmaceutical anijulishe.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimeona wanakopesha watakaosoma LAW SCHOOL na NELSON MANDELA tu!: hiv kweli unamkopesha mtu wa sheria unamuacha daktari wa binadamu MUHAS kusoma masters? Unamlipia mtu Nelson Mandela...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
My learned friends I come before you to at least get some tips on how to handle Advanced Level physics. I have committed a lot of my time to study it but I find myself to be empty when answering...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
It has been so long guys.Hawa jamaa washapata mwenyekiti wa bodi, ambaye inasemekana ndo alikuwa kikwazo kwa matokeo ya mitihan iliyofanyika Nov mwaka Jana kutoka . Mbona bado kimya wadau? Kuna...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Poleni na majukumu ya kujenga taifa, Kijana wenu nataka kurudi shule pale mlimani, nimewaza na kuwazua, nimeona niwashirikishe katika hili. Ipi kozi nzuri ya kuenenda katika hizo mbili ili kuweza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari Mimi ni biologist nimegraduate two years back ,So nimeamua kuanzisha huu uzi ili tuwe tunapeana updates na news about this carrier. For now mimi nipo nafanya temporary work kwenye industry...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari za leo Wana JF, Natafuta full scholarship katika level ya Masters Degree ktk field ya Environmental Science/Biodiversity Conservation. Nitashukuru sana nikipata maelekezo/msaada wenu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom