Wakuu,
Nikikaa Marekani au UK kwa mwaka mmoja nitaweza zungumza hii lugha ya malkia kwa ufasaha bila kigugumizi?
Nimemaliza chuo tena bachelor lkn kingereza changu sio kizuri, na huwa nakwama...
Naomba mnisaidie nimemaliza diploma ya procurement ktk chuo cha st joseph mwaka 2018 nataka kuendelea ngaz nyingine lakin nashindwa kutokana na taarifa zangu hazipo NACTE na kila ninapo ulizia...
Wakuu salama?
Leo niko na majonzi sana kwani nimepokea matokeo yangu ya test ya INTERNATIONAL LANGUAGE TEATING SYSTEM (ielts) na kupata overall 6.5. Lengo langu ni 7 kwa kila module, je nifanyeje...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza leo tarehe 20 baadhi ya walimu wamepelekwa shule za msingi haijalishi mwalimu ana digrii au diploma,ikumbukwe walimu hao walipo kuwa vyuoni hawaku...
Mwalimu wangu wa somo la Fizikia wa O'level aliwahi kuniambia kuwa DIT ni bora kulinganisha na UDSM katika field ya engineering kwasababu kuna vifaa vingi vya kujifunzia. Na kwamba wa DIT wanakuwa...
NAOMBA kujuzwa kuna intake ngapi au kuna awamu ngapi za kuomba nafasi ya kusoma chuo huria
Mimi binafsi niliomba kujiunga na chuo hicho jina langu halijatoka na Nna GPA YA 3.0 ya Diploma ya...
Wandungu samahanini naombeni kuuliza hivi mfano mtu aliesoma Diploma ya General Agriculture anaweza omba degree ya COMMUNITY DEVELOPMENT na akachukuliwa kwenda kusoma?Mwenye uelewa anaombwa kunipa...
Nimemaliza shahada ya kwanza ya BACHELOR OF TOURISM MANAGEMENT AND MARKETING nataka kujiunga na taasisi tofauti ili kupata experience and I do not care about payment. Naomba msaada kwa anaefahamu...
nilikuwa nataka kujua zaidi kuhusu hiki chuo kama sijakosea huwa elimu yake inakuwaje.
huwa ina kuwa ni online au darasani au ni ile unajisomea mnakutana kwenye test tu.
na kama ni hivyo ada...
Daaaaah nimekaaa leo nikamkumbuka huyu Proffesor nikasema mwacheni Mungu aitwe Mungu manake huyu Prof ni kiboko kwa kwa carryover na Sap i remember them days kuna siku tulikosa course work almost...
Ndugu Habari za asubuhi? kama kichwa cha Habari kinavyojieleza, ninaomba mnisaidie kupata programs za kuandalia mitihani na notes za somo la hisabati. Huwa ninapata shida sana katika maandalizi ya...
Naomba mwenye kujua utaratibu was kujiunga na open university ngazi ya certificates, ada zake pamoja na minimum requirements zake. Specifically certificate in law .
Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.